Dada yangu anatishia kujiua, nishaurini tafadhari

Bab key acha utoto huyo mleta mada anaonyesha yuko serious na hana hata chembe ya mzaha anaumia kwa hali ya ndugu yake tumsaidie huu Uzi naona umekaa kimsaada wa mawazo ya kweli yenye uhitaji na c mizaha
 
Pole sana, uzeni hivyo viwanja (japo kwa awamu hii lazima muuze kwa bei ya hasara) pia jaribu kuwashirikisha ndugu zako na baba wa huyo mtoto muone ni jinsi gani mnaweza kulimaliza hilo deni
Asante
 
Kinywa kinaumba. Ukweli atajiua na mtoto. Kwanza kamchukueni mtoto haraka sana. Pili mpelekeni kwenye Maombi. Tatu mpelekeni katika vyombo vya sheria kwa kuwa anatishia uhai wake binafsi na mtoto
Asante kwa ushauri
 
Sioni kwann awe na stress kwasababu zifuatazo

1.kama amekopa kwenye mabenk kwa dhamana ya kazi yake serikalini asiwe na hofu maana mabenk hayamharasi MTU wanakata chao juu kwa juu ila ingekuwa MTU binafsi angemsumbua sana.

2.Waite ndugu muone jinsi ya kumsaidia ndugu yenu hususan kumlipia hayo madeni ya riba.

3.mtafutieni nyumba mumlipie kodi walau ya miezi sita na iwe ni mbali na huo mtaa anaokaa sasa aliozinguliwa na mwenye nyumba.

4.asithubutu kuacha kazi na kwa mwenendo huo wa kulewa chakari anaweza kupoteza kazi angalieni hilo lisitokee maana stress zitazidi Mara alfu moja na hatimaye ni kifo au ugonjwa wa akili.

4.msaidieni aweze kubajeti hela kidogo anayoipata baada ya deductions za mikopo

5. Mtembeleeni kwa kumpa faraja onyesheni mnamjali

6.mpendeni mtoto wake sana hii itamfariji na kumuongezea matumaini

Juu ya yote ni ibada kanisani au msikitini
Asante kwa ushauri wako
 
Mshauri auze hivyo viwanja alipe madeni ya mtaani hilo lingine akatwe kwenye mshahara hela itakayobaki aanze maisha upya.

Si mbaya pia ukamkutanisha na wanasaikolojia
 
Si anakatwa huo mkopo through salary? Sasa unahaha nini mtu kakopa kaenda kuhonga? Mkopo 7m/= plus ribs 3m/= plus za mtaani.
Tatizo anatishia kujiua. Mikopo mbona wengi wanakopa na wanaendelea na maisha kama kawaida?
 
Bab key acha utoto huyo mleta mada anaonyesha yuko serious na hana hata chembe ya mzaha anaumia kwa hali ya ndugu yake tumsaidie huu Uzi naona umekaa kimsaada wa mawazo ya kweli yenye uhitaji na c mizaha
Asante kwa kunisaidia mkuu
 
Mshauri auze hivyo viwanja alipe madeni ya mtaani hilo lingine akatwe kwenye mshahara hela itakayobaki aanze maisha upya.

Si mbaya pia ukamkutanisha na wanasaikolojia
Asante kwa mawazo yako
 
Habari zenu wakuu. Mimi ni binti wa miaka 25 ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto watano. Nina dada yangu ambaye ni wa tatu kuzaliwa, ndugu huyu ananifanya niishi kwa wasi wasi na huzuni kuu huku nilipo, kwa sababu mara kwa mara amekuwa akitishia kujiua yeye na kumuua mtoto wake.
Sabababu kubwa ya kufanya hivyo ni madeni. Dada yangu huyu mnamo mwezi wa nane alichukua mkopo katika bank fulani wa shilingi milion kumi ambao ataulipa ndani ya miaka mitano. Cha kusikitisha hakufanyia kitu cha maana sana zaidi ya kubadili vitu vyote vya ndani, akanunua viwanja viwili na nyingine akalewea pombe na kuwapa ofa marafiki zake.
Hadi imefika mwezi wa tisa mkopo wote ukawa umeisha, akawa mtu wa kuomba omba. Hapo ndipo akaamua kukopa mitaani kwa watu wanaokopesha fedha kwa riba. Akawa anadaiwa kama laki nne. Sasa ikawa akipata mshahara analewea wote na akilewa anamtukana mwenye nyumba na kutishia kumuua mtoto wake na kujiua yeye mwenyewe(mtoto ana miaka kumi).
Kutokana na hali hiyo mwenye nyumba akamsitishia mkataba na kumrudishia hela iliyobakia na akamwambia ahame. Kweli dada yangu alihama lakini hakuwa na pa kwenda hivyo vyombo vyake akawekeza kwa majirani. Sasa akawa mtu wa kutangatanga mara alale barazani mara nje na kazini akawa haendi. Wakati huo mtoto wake kamuwekeza kwa majirani.
Habari zote za yeye kufukuzwa nilipigiwa simu na msamaria mwema mmoja ambae alifanikiwa kuchukua namba yangu wakati dada yangu akiwa amelewa.
Baada ya kupata taarifa hizo niliamua kuwapigia ndugu zangu wakubwa na kuwaeleza. Hakuna aliejali majanga anayopitia dada yangu huyo kila mtu yupo bize na maisha yake madai yao ni kuwa kama huyo dadangu kaona pombe inamsaidia basi aendelee nayo.
Sasa wiki iliyopita huyu dada yangu alienda kwa dada yetu mkubwa ambae kafanikiwa kujenga maeneo ya tabata. Alipofika huko alileta vurugu sana na akatishia kuichoma moto nyumba.
Kutokana na matendo yake ndugu wamemsusa kabisa hakuna anaetaka kujua habari zake. Yaani amekuwa mpweke sana hana msaada , kwa kifupi hakuna anayemjali. Kadiri siku zinavyozidi kwenda roho ya kutamani kujiua naona imemkolea.
Leo hii nimeongea nae kwa simu akasema kuwa niende nikachukue vitu vyake vyote vya ndani kwa sababu hataki mtu yeyote avichukue atakapokufa. Sio siri roho inaniuma sana nimejaribu kuongea nae mara kwa mara kuwa asiyakimbie matatizo kwa kukikaribisha kifo lakini hanielewi. Nikiwaeleza ndugu wakubwa wananijibu mwache afe ila mtoto amuache kwa kweli nazidi kukata tamaa ya kumuepusha dada yangu huyu katika roho ya mauti.
Namnukuu juu ya kifo alichochagua anasema" NITAMPA MWANANGU SUMU AKIANZA KUTATARIKA/KUHANGAIKA NA MIMI NAKOROGA SUMU NAKUNYWA ILI TUFE PAMOJA. Nampenda sana dada yangu sitaki kumpoteza hata kidogo.
Ndugu zangu wanajamii forum wakubwa kwa wadogo naombeni mnishauri nifanye nini juu ya dada yangu asipate mawazo ya kujiua na kumuua mtoto wake? Mwenzenu chakula hakipiti kooni kwa mawazo
Acha unafiki wewe ungekuwa unampenda kitu cha kwanza ungeenda kumchukua mtoto wake then ndio ungekuja kuomba ushauri huku. Pumbavu kabisa wewe.
 
HanaThupendoeagain, huyo: 18794192, hajachukua6hatuaKzozoteAubarikiwe kwa upendo wako[/QUOTE]
Hana hupendo wowote huyo, muda wote hajachukua hatua zozote. angekuwa na upendo angemchukua mtoto basi.
 
Habari zenu wakuu. Mimi ni binti wa miaka 25 ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto watano. Nina dada yangu ambaye ni wa tatu kuzaliwa, ndugu huyu ananifanya niishi kwa wasi wasi na huzuni kuu huku nilipo, kwa sababu mara kwa mara amekuwa akitishia kujiua yeye na kumuua mtoto wake.
Sabababu kubwa ya kufanya hivyo ni madeni. Dada yangu huyu mnamo mwezi wa nane alichukua mkopo katika bank fulani wa shilingi milion kumi ambao ataulipa ndani ya miaka mitano. Cha kusikitisha hakufanyia kitu cha maana sana zaidi ya kubadili vitu vyote vya ndani, akanunua viwanja viwili na nyingine akalewea pombe na kuwapa ofa marafiki zake.
Hadi imefika mwezi wa tisa mkopo wote ukawa umeisha, akawa mtu wa kuomba omba. Hapo ndipo akaamua kukopa mitaani kwa watu wanaokopesha fedha kwa riba. Akawa anadaiwa kama laki nne. Sasa ikawa akipata mshahara analewea wote na akilewa anamtukana mwenye nyumba na kutishia kumuua mtoto wake na kujiua yeye mwenyewe(mtoto ana miaka kumi).
Kutokana na hali hiyo mwenye nyumba akamsitishia mkataba na kumrudishia hela iliyobakia na akamwambia ahame. Kweli dada yangu alihama lakini hakuwa na pa kwenda hivyo vyombo vyake akawekeza kwa majirani. Sasa akawa mtu wa kutangatanga mara alale barazani mara nje na kazini akawa haendi. Wakati huo mtoto wake kamuwekeza kwa majirani.
Habari zote za yeye kufukuzwa nilipigiwa simu na msamaria mwema mmoja ambae alifanikiwa kuchukua namba yangu wakati dada yangu akiwa amelewa.
Baada ya kupata taarifa hizo niliamua kuwapigia ndugu zangu wakubwa na kuwaeleza. Hakuna aliejali majanga anayopitia dada yangu huyo kila mtu yupo bize na maisha yake madai yao ni kuwa kama huyo dadangu kaona pombe inamsaidia basi aendelee nayo.
Sasa wiki iliyopita huyu dada yangu alienda kwa dada yetu mkubwa ambae kafanikiwa kujenga maeneo ya tabata. Alipofika huko alileta vurugu sana na akatishia kuichoma moto nyumba.
Kutokana na matendo yake ndugu wamemsusa kabisa hakuna anaetaka kujua habari zake. Yaani amekuwa mpweke sana hana msaada , kwa kifupi hakuna anayemjali. Kadiri siku zinavyozidi kwenda roho ya kutamani kujiua naona imemkolea.
Leo hii nimeongea nae kwa simu akasema kuwa niende nikachukue vitu vyake vyote vya ndani kwa sababu hataki mtu yeyote avichukue atakapokufa. Sio siri roho inaniuma sana nimejaribu kuongea nae mara kwa mara kuwa asiyakimbie matatizo kwa kukikaribisha kifo lakini hanielewi. Nikiwaeleza ndugu wakubwa wananijibu mwache afe ila mtoto amuache kwa kweli nazidi kukata tamaa ya kumuepusha dada yangu huyu katika roho ya mauti.
Namnukuu juu ya kifo alichochagua anasema" NITAMPA MWANANGU SUMU AKIANZA KUTATARIKA/KUHANGAIKA NA MIMI NAKOROGA SUMU NAKUNYWA ILI TUFE PAMOJA. Nampenda sana dada yangu sitaki kumpoteza hata kidogo.
Ndugu zangu wanajamii forum wakubwa kwa wadogo naombeni mnishauri nifanye nini juu ya dada yangu asipate mawazo ya kujiua na kumuua mtoto wake? Mwenzenu chakula hakipiti kooni kwa mawazo
Chikueni mjomba wenu endeleeni na maisha yenu subirini kuzika huyo mfu!kifo hakikimbiwa kila mtu atakufa at a certain time na huyo keshamaliza maisha yake amebakiwa na uhai tu subirini hitimisho na kama nyie waislam basi jitayarisheni kumlipia madeni yake maana kwa taratibu za kiislam kufa na madeni ni mushkel kwa maiti labda wadeni wakusamehe.
Na kama hamtaki kufika huko basi chukueni dada yenu uzeni hivyo viwanja lipeni madeni na mumsaidie kurejesha maisha yake .
Pia kwa mujibu wa maelezo yako inaonekana familia yenu haiko tight kivile !unaogopa asife pia hauko pale kumsaidia?undugu maana yake for better or for worse you should have been there for her to give her strenght to guide her to mend her life am assuming hata dogo atakuwa uswazi tu school haend ilhalu wajomba na mashangazi mpo!
 
Mara nyingi huwa anayesema atajiua huwa hathubutu kufanya ivo hata cku mo1 lakin usisubir ad tukio litokee chukue hatua haraka
Wanajiua mkuu ,they just need this litle provocation! Long time dame wa mshikaji tulimpoteza kihivyo alikuwa anasoma Zanaki jioni yule kwao walikuwa wanamzingua asiwe na mshikaji wangu akawa anatishia kujiua brother wake akawa anampa kichapo na kumwambia jiuwe na akaenda mbali akanunua sumu kaweka visu akimwambia go ahead !
Dame alikaa kama wiki mbili hivi siku ambayo hakukuwa na tatizo lolote akafanya kweli!
Tuliumia sana she was so pretty!
 
Bab key acha utoto huyo mleta mada anaonyesha yuko serious na hana hata chembe ya mzaha anaumia kwa hali ya ndugu yake tumsaidie huu Uzi naona umekaa kimsaada wa mawazo ya kweli yenye uhitaji na c mizaha
Hana maumivu yoyote huyo mleta mada, kama angekuwa nayo kuna juhudi za awali angechukua kumsaidia ndugu yake kabla yakuomba ushauri. Wote wanakwepa majukumu.
 
HanaThupendoeagain, huyo: 18794192, hajachukua6hatuaKzozoteAubarikiwe kwa upendo wako
Hana hupendo wowote huyo, muda wote hajachukua hatua zozote. angekuwa na upendo angemchukua mtoto basi.[/QUOTE]
Nimewahi kumchukua na nikamuombea asome shule flan kwa muda. Akasoma kwa wiki tatu tu akaja kumchukua. Tena si mie tu watu mbalimbali wamejaribu kumsaidia mtoto ila mwisho wa siku anamchukua mwanae. Haya unafiki wangu uko wapi? Kama ulikuwa huna cha kuchangia ungekaa kimya wala usingepukiwa kitu. Mtu mzima huhesabiwa kwa busara zake na sio umri wake, umri ni namba tu. Aibu kwakooo
 
Habari zenu wakuu. Mimi ni binti wa miaka 25 ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto watano. Nina dada yangu ambaye ni wa tatu kuzaliwa, ndugu huyu ananifanya niishi kwa wasi wasi na huzuni kuu huku nilipo, kwa sababu mara kwa mara amekuwa akitishia kujiua yeye na kumuua mtoto wake.
Sabababu kubwa ya kufanya hivyo ni madeni. Dada yangu huyu mnamo mwezi wa nane alichukua mkopo katika bank fulani wa shilingi milion kumi ambao ataulipa ndani ya miaka mitano. Cha kusikitisha hakufanyia kitu cha maana sana zaidi ya kubadili vitu vyote vya ndani, akanunua viwanja viwili na nyingine akalewea pombe na kuwapa ofa marafiki zake.
Hadi imefika mwezi wa tisa mkopo wote ukawa umeisha, akawa mtu wa kuomba omba. Hapo ndipo akaamua kukopa mitaani kwa watu wanaokopesha fedha kwa riba. Akawa anadaiwa kama laki nne. Sasa ikawa akipata mshahara analewea wote na akilewa anamtukana mwenye nyumba na kutishia kumuua mtoto wake na kujiua yeye mwenyewe(mtoto ana miaka kumi).
Kutokana na hali hiyo mwenye nyumba akamsitishia mkataba na kumrudishia hela iliyobakia na akamwambia ahame. Kweli dada yangu alihama lakini hakuwa na pa kwenda hivyo vyombo vyake akawekeza kwa majirani. Sasa akawa mtu wa kutangatanga mara alale barazani mara nje na kazini akawa haendi. Wakati huo mtoto wake kamuwekeza kwa majirani.
Habari zote za yeye kufukuzwa nilipigiwa simu na msamaria mwema mmoja ambae alifanikiwa kuchukua namba yangu wakati dada yangu akiwa amelewa.
Baada ya kupata taarifa hizo niliamua kuwapigia ndugu zangu wakubwa na kuwaeleza. Hakuna aliejali majanga anayopitia dada yangu huyo kila mtu yupo bize na maisha yake madai yao ni kuwa kama huyo dadangu kaona pombe inamsaidia basi aendelee nayo.
Sasa wiki iliyopita huyu dada yangu alienda kwa dada yetu mkubwa ambae kafanikiwa kujenga maeneo ya tabata. Alipofika huko alileta vurugu sana na akatishia kuichoma moto nyumba.
Kutokana na matendo yake ndugu wamemsusa kabisa hakuna anaetaka kujua habari zake. Yaani amekuwa mpweke sana hana msaada , kwa kifupi hakuna anayemjali. Kadiri siku zinavyozidi kwenda roho ya kutamani kujiua naona imemkolea.
Leo hii nimeongea nae kwa simu akasema kuwa niende nikachukue vitu vyake vyote vya ndani kwa sababu hataki mtu yeyote avichukue atakapokufa. Sio siri roho inaniuma sana nimejaribu kuongea nae mara kwa mara kuwa asiyakimbie matatizo kwa kukikaribisha kifo lakini hanielewi. Nikiwaeleza ndugu wakubwa wananijibu mwache afe ila mtoto amuache kwa kweli nazidi kukata tamaa ya kumuepusha dada yangu huyu katika roho ya mauti.
Namnukuu juu ya kifo alichochagua anasema" NITAMPA MWANANGU SUMU AKIANZA KUTATARIKA/KUHANGAIKA NA MIMI NAKOROGA SUMU NAKUNYWA ILI TUFE PAMOJA. Nampenda sana dada yangu sitaki kumpoteza hata kidogo.
Ndugu zangu wanajamii forum wakubwa kwa wadogo naombeni mnishauri nifanye nini juu ya dada yangu asipate mawazo ya kujiua na kumuua mtoto wake? Mwenzenu chakula hakipiti kooni kwa mawazo
Mchukue mtoto halafu mwambieni yy ajipige kitanzi tuu haina shida
 
Acha unafiki wewe ungekuwa unampenda kitu cha kwanza ungeenda kumchukua mtoto wake then ndio ungekuja kuomba ushauri huku. Pumbavu kabisa wewe.
Kichwa kikubwa bila akili ni hasara kwa miguu yako. Kama huna cha kuchangia ungekaa kimya tu wala kisingeharibika kitu. Acha kujichoresha kwa upumbavu wako mtu mzima hovyooi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom