Kuna roho mbaya inamtafuta, roho ya mauti. Sasa, dawa ni maombi tu. Hakuna namna. Alipoona fedha yake kaimaliza bila hata chochote alichoifanyia ndio mwanzo wa kujikataa. Anadhani kumuua mwanaye ndio njia pekee ya kumuepusha na dhiki mwanaye. Hayo ni mawazo mabaya ya kishetwani.
Ukijidanganya na kumleta akae kwako ndio kumharibu kabisa. Mpeleke kwanza kwa maombi akiisha tulia kidogo ndo umlete akae kwako huku ukihakikisha maombi hakosi. Akiisha funguka, mfundishe namna ya kujiendeleza. Umesema anavyo viwanja 2 uza kimoja ujaribu kujenga nyumba ndogo tu ya 2 rooms. Ahamie ajisikie kuwa ana kwake. Pole ploe ataanza kujiona wa maana. Hivi sasa amejidharau
Ukijidanganya na kumleta akae kwako ndio kumharibu kabisa. Mpeleke kwanza kwa maombi akiisha tulia kidogo ndo umlete akae kwako huku ukihakikisha maombi hakosi. Akiisha funguka, mfundishe namna ya kujiendeleza. Umesema anavyo viwanja 2 uza kimoja ujaribu kujenga nyumba ndogo tu ya 2 rooms. Ahamie ajisikie kuwa ana kwake. Pole ploe ataanza kujiona wa maana. Hivi sasa amejidharau