mwambie uone kama wewe na dada yako hamjarudishwa kiembe mbuzi..
ukisikia "fulani " kavunja ndoa ya dada yake nivyo inavyokuwa..
wewe zungumza na dada yako, mwambie umemwona na anachokifanya sio kizuri, maradhi mengi achukue tahadhari na ikibidi aache...
hapo jukumu lako ndipo linapoishia, dada yako ni mtu mzima anajua zuri na baya, na undani kwenye ndoa zawatu huwezi kuujua.
Unapotaka kulisanua kwa shem wako au kumpiga ribiti sista wako, Je unajua sista anachokikosa kwa shem wako kinachomfanya aende nje kukitafuta? Kama je mapigo ya shem wako kwenye 6x6 ni hafifu utamsaidiaje? Pilipili usizozila zakuwashani??
nitajaribu kuchonga naye ndugu ila dada yangu amenipita na miaka 9
hayo yana sehemu yake nyingine mpe mwenzako uhuru huwezi jua inamgusa kwa kiwango gani?Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!
harufu ya kurudi kwenu ww na dada yako vibonde kunoga inanukia!!!
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS
ongea na dada yako ,kumwambia shemeji yako huo ni umbea hlf atakuchukulia bonge la ****.
Mwache sista ahondomole tamtam na switi bebi wake masogange.
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS