Acha kuhalalisha uovu unaotujazia watoto wa mitaani,naomba msimsikilize huyu jamaa,cha kufanya muonye kwanza dada yako, akiendelea mwache siku hizi za mwizi ni ishirini na si arobaini tenaKaka ukweli mchungu hamna asiyefanya siku hizi swala hapo ni kujificha sana. Utaukataa huu ukweli lakini ndivyo ilivyo watu wanakula hata wake za marais ije kuwa sisi wa mitaani???? mke wa rais ana watu wangapi wa kumlinda??? na mkeo anao wangapi wa kumlinda?? Hii lazima tuikubari tu no way out.