admiral elect
Member
- Nov 30, 2011
- 93
- 29
Wakuu naomba mchango wenu wa mawazo kwani nataka kufanya maamuzi nadhani muhimu sana.
Dada mtu tunasoma nae mwaka wa tatu sasa na kwa kweli kwa maoni yangu dada kakamilika sana yaani vitu vyote muhimu hasa nivipendavyo mimi ikiwemo tabia tabia na mwenendo mzuri. Ni kweli nilifahamu kuwa dada ana mchumba lakini kwa sababu tunaelewana sana (watu wengi wanaamini kuwa sisi ni wachumba au wapenzi) na kwa kuwa nilihisi kwamba ananipenda na kwamba naweza nikafanya mapinduzi ya amani,nikaamua kujaribu mawazo yangu.
Basi nikamuomba kuwa nina shida ya kuongea naye faragha nje ya chuo. akakubali lakini akaomba nimwahidi kuwa huko sintaomba muongozo wala utaratibu labda tu taarifa ya spika naweza kupewa na kwa kweli h mara nyingi huwa tunapeana taarifa ya spika tunapoonana. Kilichonishtua akaniambia hata yeye ana kitu anataka kuniambia na alikuwa ananivutia pumzi tu na kwamba ataniambia siku hiyo baada ya mimi kumweleza yangu.
Basi tukaenda nje ya mji wikiendi na kupanga chumba chenye vitanda viwili katika hoteli moja iliyoko ufukweni. Ikapita asubuhi,ikawa mchana mara jioni halafu usiku huooo! Ukafika, tukaingia chumbani maana muda mwingi tulikuwa ufukweni tukiogelea ,kula na kunywa na kuongea mambo mengine ikiwewa ni pamoja na masomo si unajua kozi yetu inavyokaba na kila mara nilipotaka kumweleza yanayonisumbua aliniambia nisiwe na haraka si tunalala tena chumba kimoja sasa haraka gani? Basi wandugu ule muda ukafika yaani baada ya kila mtu kuoga na kupanda kitandani ndo nikaanza kutokuamini kilichokuwa kikitokea( lazima nikilii kuwa baada ya kumshawishi kulala na hasa chumba kimoja niliamini mapinduzi yangewezekana tena kwa kishindo) hali ikawa kinyume kabisa ,kwanza kumshawishi tulale kitanda kimoja ilichukua kama saa na nusu!haya kupewa utaratibu ilichukua kama saa nne hivi na muungozo wa spika ndo niliomba bila mafanikio mpaka napitiwa na usingizi nadhani kwenye saa tisa au kumi hivi. Majibu aliyonipa ni kwamba ananipenda sana lakini ana mchumba na zaidi kuna sababu nyingine ambayo ataniambia asubuhi.
Niliposhtuka asubuhi kwa sababu ya uchovu wa mchana kutwa na karibu usiku kucha wa kubembeleza kupewa muongozo wa spika,nikamkuta binti naye kalala kifuani kwangu naye kapitiwa na usingizi na uchovu. nikajaribu tena kuomba muongozo tena kwa vitendo,basi nikapitisha mkono taratibu mpaka kwenye the mountanain between kuelekekea the river between.binti akaruka na kuniambia niache.
Baada ya kunywa chai na kurudi chumbani, msichana huyu akaniambia sabau ya pili ya kuninyima muungozo kuwa ni kwa sababu angependa na ananiomba niwe mchumba wa mdogo wake ambaye kwa sasa yuko form 6 mkoani kwao na sababu za yeye kuniomba hilo ni hizi.
1.aliombwa na marehemu mama yake asaidie kumwongoza mdogo wake apate mchumba mzuri kama wa kwake na kwamba anaamini kuwa mimi nitamfaa sana mdogo wake.
2. mdogo wake aliwahi kuoniona kwenye dvd ya arusi ya class met wetu na akavutiwa sana na mimi na kwamba anadhani ananipenda sana.
Vivutio: 1.nikaonyeshwa picha tatu za dogo yaani ile ile.mambo yetu yale kama kawaida.
2. dogo ana tabia nzuri anaamini kuliko hata yeye mweyewe.
3.dogo anavyomfahamu na alivyomhakikishia kuwa tukielewana mien ndo nitakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi.
4.tunapishana miaka 5 na dogo hivyo anafaa zaidi kuwa waifu tofauti na yeye ambaye namzidi miezi michache tu.
Mawazo yangu(yanaweza kubadilika kutokana na ushauri wenu)
Kwa kuwa dogo ana uhakika wa kuja kusoma hapa dar ,basi nisubiri nimuone live na kuangalia mwenendo na tabia yake kama tutaendana vizuri basi nimchumbie na kwamba ingawa dada mtu nilishalala nae kitanda kimoja na kupeana utaratibu na taarifa tu, basi ni halali kumuoa mdogo wake kwani hakunipa mwongozo wa spika ambao hatimaye ndio ungetia kikwazo (unajisi).WAKUU NAOMBA KUWASILISHA!
Dada mtu tunasoma nae mwaka wa tatu sasa na kwa kweli kwa maoni yangu dada kakamilika sana yaani vitu vyote muhimu hasa nivipendavyo mimi ikiwemo tabia tabia na mwenendo mzuri. Ni kweli nilifahamu kuwa dada ana mchumba lakini kwa sababu tunaelewana sana (watu wengi wanaamini kuwa sisi ni wachumba au wapenzi) na kwa kuwa nilihisi kwamba ananipenda na kwamba naweza nikafanya mapinduzi ya amani,nikaamua kujaribu mawazo yangu.
Basi nikamuomba kuwa nina shida ya kuongea naye faragha nje ya chuo. akakubali lakini akaomba nimwahidi kuwa huko sintaomba muongozo wala utaratibu labda tu taarifa ya spika naweza kupewa na kwa kweli h mara nyingi huwa tunapeana taarifa ya spika tunapoonana. Kilichonishtua akaniambia hata yeye ana kitu anataka kuniambia na alikuwa ananivutia pumzi tu na kwamba ataniambia siku hiyo baada ya mimi kumweleza yangu.
Basi tukaenda nje ya mji wikiendi na kupanga chumba chenye vitanda viwili katika hoteli moja iliyoko ufukweni. Ikapita asubuhi,ikawa mchana mara jioni halafu usiku huooo! Ukafika, tukaingia chumbani maana muda mwingi tulikuwa ufukweni tukiogelea ,kula na kunywa na kuongea mambo mengine ikiwewa ni pamoja na masomo si unajua kozi yetu inavyokaba na kila mara nilipotaka kumweleza yanayonisumbua aliniambia nisiwe na haraka si tunalala tena chumba kimoja sasa haraka gani? Basi wandugu ule muda ukafika yaani baada ya kila mtu kuoga na kupanda kitandani ndo nikaanza kutokuamini kilichokuwa kikitokea( lazima nikilii kuwa baada ya kumshawishi kulala na hasa chumba kimoja niliamini mapinduzi yangewezekana tena kwa kishindo) hali ikawa kinyume kabisa ,kwanza kumshawishi tulale kitanda kimoja ilichukua kama saa na nusu!haya kupewa utaratibu ilichukua kama saa nne hivi na muungozo wa spika ndo niliomba bila mafanikio mpaka napitiwa na usingizi nadhani kwenye saa tisa au kumi hivi. Majibu aliyonipa ni kwamba ananipenda sana lakini ana mchumba na zaidi kuna sababu nyingine ambayo ataniambia asubuhi.
Niliposhtuka asubuhi kwa sababu ya uchovu wa mchana kutwa na karibu usiku kucha wa kubembeleza kupewa muongozo wa spika,nikamkuta binti naye kalala kifuani kwangu naye kapitiwa na usingizi na uchovu. nikajaribu tena kuomba muongozo tena kwa vitendo,basi nikapitisha mkono taratibu mpaka kwenye the mountanain between kuelekekea the river between.binti akaruka na kuniambia niache.
Baada ya kunywa chai na kurudi chumbani, msichana huyu akaniambia sabau ya pili ya kuninyima muungozo kuwa ni kwa sababu angependa na ananiomba niwe mchumba wa mdogo wake ambaye kwa sasa yuko form 6 mkoani kwao na sababu za yeye kuniomba hilo ni hizi.
1.aliombwa na marehemu mama yake asaidie kumwongoza mdogo wake apate mchumba mzuri kama wa kwake na kwamba anaamini kuwa mimi nitamfaa sana mdogo wake.
2. mdogo wake aliwahi kuoniona kwenye dvd ya arusi ya class met wetu na akavutiwa sana na mimi na kwamba anadhani ananipenda sana.
Vivutio: 1.nikaonyeshwa picha tatu za dogo yaani ile ile.mambo yetu yale kama kawaida.
2. dogo ana tabia nzuri anaamini kuliko hata yeye mweyewe.
3.dogo anavyomfahamu na alivyomhakikishia kuwa tukielewana mien ndo nitakuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi.
4.tunapishana miaka 5 na dogo hivyo anafaa zaidi kuwa waifu tofauti na yeye ambaye namzidi miezi michache tu.
Mawazo yangu(yanaweza kubadilika kutokana na ushauri wenu)
Kwa kuwa dogo ana uhakika wa kuja kusoma hapa dar ,basi nisubiri nimuone live na kuangalia mwenendo na tabia yake kama tutaendana vizuri basi nimchumbie na kwamba ingawa dada mtu nilishalala nae kitanda kimoja na kupeana utaratibu na taarifa tu, basi ni halali kumuoa mdogo wake kwani hakunipa mwongozo wa spika ambao hatimaye ndio ungetia kikwazo (unajisi).WAKUU NAOMBA KUWASILISHA!