mkuu we acha tu, yaani asubuhi yake watu walikuwa wakiniangalia kwa jicho linalosema; dogo usiku kafaidi kweli lakini mwenyewe nilikuwa najisemea wangejua wala wangenihurumia sana,yaani option iliyokuwepo ilikuwa kutumia nguvu na kwa jinsi tulivyo marafiki nisingeweza kumlazimishaPole sana mkuu, yaliyo kupata hayajawahi kunitokea wala kupita katika fikra zangu, yaani upo kitanda kimoja halafu hakieleweki hii case haina exception kwetu , Nahisi naweza kupewa laana na wakubwa zangu. Ushauri wangu potezea wote lakini Kama vipi fagia hiyo dogo kwasababu inaonekana moyo wako umelala kwa dada mkumbwa, anyway time will tell just play along.
ni kweli ana mchumba.dogo wamefanana sana na kwa mujibu wa picha dogo ni turbo zaidi kuliko yeye na mimi nikiri wazi kuwa napenda turbo sanaInawezekana dada anataka kukupima aone msimamo wako. Kama ushampenda dada inakuwaje unapata hisia kwa mdogo wake?
mkuu dada ana msimamo balaa, yaani sikuamini mpaka asubuhi.nakumbuka nilirudi za zana mpaka chuo.
mkuu hiyo ya kula mtu na dada yake naiogopa kweli kwa mawzo yangu hiyo ni direct laana ingawa kautaratibu alinipa na nikiri ilikuwa ile ilendo maana nimemwambia kazi kwako
kwa maana kukubali au kukataa...
inawezekana ni kweli mkuu,lakini ujue mie town kitambo na nilijitahidi sanahakuna mwanamke anaepanda kitandani
tena hotelini na mwanaume anaemtongoza
halafuukasema 'ana msimamo'
wewe ulishindwa kutegua 'kitendawili'
ungekuwa mzoefu 'ungetegua'.....
inawezekana ni kweli mkuu,lakini ujue mie town kitambo na nilijitahidi sana
hakuna mwanamke anaepanda kitandani
tena hotelini na mwanaume anaemtongoza
halafuukasema 'ana msimamo'
wewe ulishindwa kutegua 'kitendawili'
ungekuwa mzoefu 'ungetegua'.....
inawezekana ni kweli mkuu,lakini ujue mie town kitambo na nilijitahidi sana
mkuu nilitaka kumaanisha kwamba haya mambo si mgeni ingawa sijui kama nitakuwa sahihi kusema ni pro. kwa taarifa tu mie ni mvumilivu sana lakini nikiri kwa mwanaume yeyote yule rijali ukiwa na binti chumba kimoja na ulishakuwa na mawazo fulani ikiwa ni pamoja na kuamini kuwa binti anakupenda, basi kinachofuatia mara nyingi ni vitendohalaf stori baadaehukujitahidi na wala kuwa town hakusaidii kutegua
'vitendawili' vya wanawake.....
ungejua 'technic wala usingehitaji kujitahidi'.....
kumbuka alishakwambia toka mwanzo 'una haraka ya nini'
wakati mtalala pamoja?'
hukuelewa hiko 'kitendawili'
ulikuwa na pupa sana....ulikuwa bize na mwili wake
badala ya kuwa bize na moyo wake...
hiyo mkuu nilikuwa sijaifikiria! nadhani kweli hiyo ikaleta balaa maana alishakiri kuwa ananipenda ila tatizo ni hizo sababu mbili.lakni naamini kuwa hawataachana na jamaa na hata ikitokea navyomfahamu hawezi kumsaliti mdogo wake kwani ananiambia kuwa yeye ni kama mama yake kwa sasahivi ukimuoa huyo dogo,afu huyo dada jamaa yake aoe mwanamke mwingine,si itakua balaa?kaz ipo!