wala huna shida kurudiarudia kupata maanaMkuu, umetumia lugha maridhawa sana. Kiswahili kilichonyooka haswa! Asante.
Wana msemo wao unasema atakayeiharibu America ni mmarekani mwenyewe... NAkubaliana na Maneno yako.Mpaka leo naamini FBI walihusika kukamilisha dili la D.B. Cooper
Moja kati ya mkasa wa kusisimua kwenye miaka ya 1970' - 1980's
Sahihi. Siyo mtu anaandika lugha saba kwa wakati mmoja. Huyu mkuu kazingatia mengi sana. Palipokuwa na ulazima wa kuweka neno la lugha nyingine alifanya hivyo na kuweka tafsiri mujarabu.wala huna shida kurudiarudia kupata maana
Hata waliosomea Kiswahili hawawezi kuandika kitu Kama hichi. Hiki ni kipaji, ukiangalia kwanzia mtiririko, lugha, na maana....huyu Jamaa amebarikiwa.Sahihi. Siyo mtu anaandika lugha saba kwa wakati mmoja. Huyu mkuu kazingatia mengi sana. Palipokuwa na ulazima wa kuweka neno la lugha nyingine alifanya hivyo na kuweka tafsiri mujarabu.
Naam, palipo kweli hunenwa kweli. Ale tano hapo alipo.Hata waliosomea Kiswahili hawawezi kuandika kitu Kama hichi. Hiki ni kipaji, ukiangalia kwanzia mtiririko, lugha, na maana....huyu Jamaa amebarikiwa.
Hahah! Nisamehe bure mkuu, next time nitafanya hivyoMbona hukuniita na mimi
Hahahah! Dah unenifurahisha sana mkuu.. Eti gaidi hewaNafikiri DB cooper ndo angeyafanya hayo hapa kwetu na jinsi alivyowasumbua wangemwita "gaidi hewa" maana angewachosha sana.
Kweli mkuu...Wana msemo wao unasema atakayeiharibu America ni mmarekani mwenyewe... NAkubaliana na Maneno yako.
hahahahaNafikiri DB cooper ndo angeyafanya hayo hapa kwetu na jinsi alivyowasumbua wangemwita "gaidi hewa" maana angewachosha sana.
jitahidi ulete mapemaLeta manuva mkuu
Kwenye alfu lela u lela, namkubali Sinbad Baharia aisee
titimunda unaakili kama zanguManuva na makeke yote yalifanyika kabla ndege haijapaa kwa mara ya pili.nahisi hapo ndo walipozidiwa kete,na siku zote matukio makubwa kama hili lazima kuna insideman,eidha mmoja wa marubani au mmoja ya waloshuka wakati wana refuel