Mkuu usingizi umekata lete vitu
Ajabu Ni kua nlipanga kutafakari kwa DK 10 lkn hadi sasa ninaendelea kurudia kisa hiki Tena na Tena kwa masaa 2!
Asante sana mwandishi
Kaka lini mzigo unaendelea..... Maana ni bonge la season....??
Fbi si ndio wachunguzj mahili kabisa duniani ktk kubaini makosa... Cooper aliwawezaje.....??
Duh safi sana,mwaga vyombo mkuu.
Msijali wakuu... nitaendeleaMkuu tunakusubiri
Hahaha! Mkuu huwa napenda sana umakini wakoMpaka utulize akili hapa
Nashukuru mkuu, nitaendeleaDaa wewe noma tupe zaidi ii story inafundisha zaidi
Sawa kiongozi tunasubiri iyo story nduguHahaha! Mkuu huwa napenda sana umakini wako
Nashukuru mkuu, nitaendelea
He he he balaaa kila mjanja na mjanja wake..!Vitu hiv havifanywi na mbumbu.. Mathematician, great thinkers, kesi zote hizo za kina cooper, john delinger, bonni n clyde n.k, labda wangeenda kuwafufua wakina albert Einstein, sir isaac newton, au mchawi kisisina.
Ahsante!Divine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious,
Angalia walionazo na sisi tungekuwa hapohapo..Hii akili angekua nayo mweusi huwa najiuliza tungekuwa wapi kwa dunia ya leo
Mbona hukuniita na mimiDivine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious,