D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Here we go again, someone else anatafuta kiki kupitia huu Uzi!! Nielekeze mkuu hii post ilipo toka 2015 nikaione hiyo miujiza..
Mkuu achana na Yericko ni mtafuta KIKI sana kule Fb sasa kuna mdau mmoja nadhani aliisoma huku amemmbana toka jana kuwa ameiba huku ndio Yericko anajitetea kuwa ndio aliandika yeye.
 
Ok nilikuwa sijaangalia vizuri hii screenshot ya Yericko Nyerere nimeona hapo pembeni kuna tarehe (June 5, 2015), aisee siamini kama mkuu Yericko unaweza kufanya uhuni wa kiasi hiki, nahisi labda sijaelewa hasa una maana gani.. Ila kama unajaribu kujenga hoja kuwa hii stori ni yako mkuu wangu umenivunjia heshima mimi na umejivunjia yako kwangu maana huwa nakuheshimu sana mkuu..

Now let's settle this, its very simple.. Kwanza naskia hata hasira kuanza
kujitetea ati ni stori yangu ukizingatia jinsi nilivyojipinda kuandika huu uzi ila for the sake of argument wacha nihighlight mambo kadhaa maana uongo ukiachwa bila kushughulikiwa unaweza kugeuka ukweli..

1. Kila mwandishi ana style yake ya kuandika (swag, midondoko) na ana fleva yake ya story telling ndio maana ukishika kitabu bila ya kuangalia jina la muandishi ukasoma tu stori unaweza kutofautisha huyu in Harlan Coben na huyu ni Robert Harris.!! Yaani kwamfano; moja ya watu ninao penda stori zao humu JF ni Lara 1, hata ukikuta stori yake huko whatsapp watu wamepost bila hata jina lake kuwepo ila utajua tu huyu ni Lara 1. Ndio hiyo naongelea swag na midondoko ya story telling..
Sasa soma stori zangu zote, kuanzia zile za mwaka 2014 hadi za mwaka huu angalia aina ya stori zangu, pia angalia 'swag' yangu ya usimuliaji alafu baada ya hapo nenda kaangalie stori za Yericko. Utapata jibu..

2. Jiulize swali dogo kama ameandika hii stori mwaka 2015, hebu wajitokeze watu waseme wamewahi kuiona hii stori mwaka jana ikiwa imeandikwa hivi hivi! Wajitokeze waseme waliiona wapi?? Kama hawapo jiulize aliiandika akawa anasoma peke yake chumbani???

AMEFANYAJE..

Sasa swali; kama amekopi kwangu kwanini tarehe inaonekana June 5, 2015.

I have two guesses..

i) nahisi kwenye hiyo blogu (sijui ni blogu gani maana hata jina alionekani sawia) katika tarehe hiyo alipost kitu kwenye blogu. Sasa alichofanya ni kwamba akachukua hii stori huku alafu akaenda kuipost kwenye post yake ile ya kwanza ya tarehe hiyo husika (editing)
Yaani hivi; mfano hapa hapa JF nenda kwenye post yako yoyote ya zamani labda wiki moja nyuma au mwezi au mwaka alafu jaribu kuiedit hiyo post na uandike kitu kingine! Kitakachobadili ni ile post mpya uliyoweka ila tarehe itabaki ile ile ya zamani!
That's my first guess..

ii) its a "dummy screen shot"
Huko play store kuna apps kibao za kutengeneza screen shot zinafanana kabisa na zile app watoto/vijana wanatumia kujiedit wametokea kwenye cover la Vogue magazine etc..

So far nafikiri ni moja kati ya hivi viwili amekifanya au kingine ambacho sijakifikiria..

Mwisho; inatia hasira kukaa hapa kujijitea kuwa stori ni yangu ukizingatia naandika hapa silipwi wala kuongeza sumni kwenye akaunti bank but still nimejipinda kuandika na kushare nanyi hapa!! Watu kama kina yericko ndio wanaokatisha tamaa hata mtu kutumia mda wako kuandika alafu from no where kidudu mtu anakuja kutingisha kibiriti kuwa ni stori yake..
Lakini sio kutia hasira tu bali nasikitika suala hili kufanywa na mtu ninayemuheshimu kama yericko! Umenihuzunisha sana.. Najiuliza kama kijiuzi tu cha The Bold una dandia na kujifanya ya kwako, je, kule kwenye taasisi/chama wanapo/tunapo kutegemea utushauri kuhusu masuala ya usalama huwa unatuingiza chaka mambo mangapi??? Inasikitisha sana, this is too low mkuu..

Lakini mimi niko positive sana kitu kama hiki nakichukulia positive pia! Hapa niko nalinganisha kitu hiki ulichokifanya na mfano anatokea President Obama anajitangazia kuwa mkeo hata yeye alimtolea mahali kabla yako na anataka umuachie, inatia hasira lakini kwa upande chanya lazima ujisifu "aisee kumbe mke wangu mkali mpaka Obama anashoboka"!!??
Ndicho ninachowaza mimi wakati huu; kama mtu anayejitanabaisha kuwa ameiva na nguli wa masuala ya usalama anakuja na kuanza kujitangazia stori zangu ni zake kumbe The Bold am really really really good at this!!!

Naanza kufikiria kutoa vitabu kama wengi mnavyonishauri wakuu!! We can do this..
 
Ok nilikuwa sijaangalia vizuri hii screenshot ya Yericko Nyerere nimeona hapo pembeni kuna tarehe (June 5, 2015), aisee siamini kama mkuu Yericko unaweza kufanya uhuni wa kiasi hiki, nahisi labda sijaelewa hasa una maana gani.. Ila kama unajaribu kujenga hoja kuwa hii stori ni yako mkuu wangu umenivunjia heshima mimi na umejivunjia yako kwangu maana huwa nakuheshimu sana mkuu..

Now let's settle this, its very simple.. Kwanza naskia hata hasira kuanza
kujitetea ati ni stori yangu ukizingatia jinsi nilivyojipinda kuandika huu uzi ila for the sake of argument wacha nihighlight mambo kadhaa maana uongo ukiachwa bila kushughulikiwa unaweza kugeuka ukweli..

1. Kila mwandishi ana style yake ya kuandika (swag, midondoko) na ana fleva yake ya story telling ndio maana ukishika kitabu bila ya kuangalia jina la muandishi ukasoma tu stori unaweza kutofautisha huyu in Harlan Coben na huyu ni Robert Harris.!! Yaani kwamfano; moja ya watu ninao penda stori zao humu JF ni Lara 1, hata ukikuta stori yake huko whatsapp watu wamepost bila hata jina lake kuwepo ila utajua tu huyu ni Lara 1. Ndio hiyo naongelea swag na midondoko ya story telling..
Sasa soma stori zangu zote, kuanzia zile za mwaka 2014 hadi za mwaka huu angalia aina ya stori zangu, pia angalia 'swag' yangu ya usimuliaji alafu baada ya hapo nenda kaangalie stori za Yericko. Utapata jibu..

2. Jiulize swali dogo kama ameandika hii stori mwaka 2015, hebu wajitokeze watu waseme wamewahi kuiona hii stori mwaka jana ikiwa imeandikwa hivi hivi! Wajitokeze waseme waliiona wapi?? Kama hawapo jiulize aliiandika akawa anasoma peke yake chumbani???

AMEFANYAJE..

Sasa swali; kama amekopi kwangu kwanini tarehe inaonekana June 5, 2015.

I have two guesses..

i) nahisi kwenye hiyo blogu (sijui ni blogu gani maana hata jina alionekani sawia) katika tarehe hiyo alipost kitu kwenye blogu. Sasa alichofanya ni kwamba akachukua hii stori huku alafu akaenda kuipost kwenye post yake ile ya kwanza ya tarehe hiyo husika (editing)
Yaani hivi; mfano hapa hapa JF nenda kwenye post yako yoyote ya zamani labda wiki moja nyuma au mwezi au mwaka alafu jaribu kuiedit hiyo post na uandike kitu kingine! Kitakachobadili ni ile post mpya uliyoweka ila tarehe itabaki ile ile ya zamani!
That's my first guess..

ii) its a "dummy screen shot"
Huko play store kuna apps kibao za kutengeneza screen shot zinafanana kabisa na zile app watoto/vijana wanatumia kujiedit wametokea kwenye cover la Vogue magazine etc..

So far nafikiri ni moja kati ya hivi viwili amekifanya au kingine ambacho sijakifikiria..

Mwisho; inatia hasira kukaa hapa kujijitea kuwa stori ni yangu ukizingatia naandika hapa silipwi wala kuongeza sumni kwenye akaunti bank but still nimejipinda kuandika na kushare nanyi hapa!! Watu kama kina yericko ndio wanaokatisha tamaa hata mtu kutumia mda wako kuandika alafu from no where kidudu mtu anakuja kutingisha kibiriti kuwa ni stori yake..
Lakini sio kutia hasira tu bali nasikitika suala hili kufanywa na mtu ninayemuheshimu kama yericko! Umenihuzunisha sana.. Najiuliza kama kijiuzi tu cha The Bold una dandia na kujifanya ya kwako, je, kule kwenye taasisi/chama wanapo/tunapo kutegemea utushauri kuhusu masuala ya usalama huwa unatuingiza chaka mambo mangapi??? Inasikitisha sana, this is too low mkuu..

Lakini mimi niko positive sana kitu kama hiki nakichukulia positive pia! Hapa niko nalinganisha kitu hiki ulichokifanya na mfano anatokea President Obama anajitangazia kuwa mkeo hata yeye alimtolea mahali kabla yako na anataka umuachie, inatia hasira lakini kwa upande chanya lazima ujisifu "aisee kumbe mke wangu mkali mpaka Obama anashoboka"!!??
Ndicho ninachowaza mimi wakati huu; kama mtu anayejitanabaisha kuwa ameiva na nguli wa masuala ya usalama anakuja na kuanza kujitangazia stori zangu ni zake kumbe The Bold am really really really good at this!!!

Naanza kufikiria kutoa vitabu kama wengi mnavyonishauri wakuu!! We can do this..

Mkuu Yericko tunamjua achana nae. wewe endelea na harakati zako Mkuu wangu
 
Back
Top Bottom