shauri yako ww na familia yako kwa taarifa yako mgomo huu haujahamasishwa hakuna mwalimu asiye fahamu kama ananyanyaswa na serikali hii dhalimu. wala haihitaji kampeni kuhusu madai ya walimu hata mtoto mdogo anafahamu kuwa mwalimu anaonewa. ww umetumwa tuu hata kama cwt wanamatatizo huu sio wakati wake sasa tupo kwenye mapambano hainahaja ya kulaumiana. funga domo lakoIna maana hujui kufanya analysis ya nilichokiandika hapo au nini tatizo? usiwe na hasira ndugu ukiangalia hapa utaona ni jinsi gani CWT wanatumbua mipesa sasa hivi na kuandikia hizi Millions zimetumika katika kipindi cha kuhamasisha mgomo wakati wanajua ...kuwa hakuna lolote litakalofanikiwa....CWT ni wahuni kama hujui hilo shauri yako.
Nipo sehemu moja kijijini huku maeneo ya Serengeti nimekaa na walimu s/m wanasema mgomo uko palepale. Ni mara yangu ya kwanza kuona kuna muamko mkubwa wa walimu sasahivi.
Akitangaza kupitia kituo cha itv naibu katibu wa chama cha walimu cwt mwl. Ezekiel amesema mgomo unaanza rasmi tar.30/07/2012 kwa kuwataka walimu wote kubaki nyumbani hadi hapo watakapopata maelekezo mengine kutoka kwa rais wa chama hicho mwl. Gration mukoba. Haya na tusubiri kuona nao kama watafukuzwa kama madaktari.