msweken
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 441
- 1,714
haya gomeni tuone serikali itakavyowatumia wanajeshi kufundisha..!!! shaka hakuna itabidi wawashirikishe police, magereza na wafungwa ili waweze ku cover nafasi za walimu... sina shaka kuwa kesho walimu mtaanza mgomo ila nna wasiwasi na muda mtakaogoma.. nna mashaka j4 mtarudi clas kama kawa, ndio zenu.. tushawazoea..