Baraza la uongozi la cwt (chama cha walimu tanzania) lasisitiza kuwepo kwa mgomo licha ya serikali kusitisha mgomo huo kwa kuwa ni batili. Mkoba (mwenyekiti wa cwt taifa) amesisitiza kuwa mgomo upo kwa kuwa mahakama kuu divisheni ya kazi haijasitisha mgomo huo
Source Channel ten habari
Source Channel ten habari