Kabla mapovu hayajakutoka mdomoni,Tafuta wataalam wa mambo ya mifumo ya elimu ili ujue kuna njia ngapi za mtu kuwa na PHD?ndo uje hapa UROPOKE
Leo JK ana PHD kapataje? na je R. Mengi?
Kila kitu mnakariri, PHD ni mpaka upate First degree,masters?kweli bongo tutasubiri sana.
Leo JK ana PHD kapataje? na je R. Mengi?
Kila kitu mnakariri, PHD ni mpaka upate First degree,masters?kweli bongo tutasubiri sana.