hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
Unadhani bila sijida Angepewa ile posti? Hahaaa!(cjasema)Na ile Sigida vipi!!??....
Unadhani bila sijida Angepewa ile posti? Hahaaa!(cjasema)Na ile Sigida vipi!!??....
Unadhani bila sijida Angepewa ile posti? Hahaaa!(cjasema)
(Tetesi).......Ni wa hukohuko, ila alilichukua baada ya kudunda std7....akiwa hukohuko mkoani (mara). Usininukuu tafazali. LolJina "Mtatiro" asili yake ni mkoa wa Mara (jina la Wakurya). Iwapo jina la "Mtatitro" alilipata baadae (according to you), ktk mihangaiko ya maisha, ina maana kwamba yeye julius sio mzaliwa wa mkoa wa Mara ? ..... I just wish to know.
R.i.p cuf
Nikiweka ufafanuzi nitakula ban, anyway maustadh wenzangu wamekuelewa mkuuRest in everlasting fire CUF. Hiki ni chama cha kuzimu.
Cuf Ni taasisi kwny makaratasi na ndio mana ikapata usajili kisheria, lakini katika hali halisi hakuna taasisi pale, iko kwa ajili ya wachache kwa personal interest baaasi.Maisha yatasonga mbele hata siku cuf ikifa pia, huwezi kufananisha mazingira aliyotoka Nyerere katika uongozi na huu uozo unaoendelea ndani ya cuf sasa, kwa taarifa yako Kama unavyofahamu 2015 haitokuwepo hiyo cuf unayoizungumza. Huwezi kufukuza viongozi waandamizi wa chama na tizama hili la mtatiro, from no where anaropoka tu ooh! Hata hao waliojitoa mlishapanga kuwatimua kwny kikao kijacho..madudu gani haya?
Kama huo ndio mtizamo wa CUF na wazanzibari wote unadhani atalaaniwa?Mkuu wangu udini ni dhambi mbaya sana.Tuweke itikadi zetu pembeni tutetee taifa letu kwanza.Kitendo alichofanya Jussa kinafaa kulaaniwa na watanzania wote hata wewe ukiwemo.Mkuu wangu kwangu mimi Taifa ni bora kuliko vyama vyetu hivi.
Hahahaha naona we mfuasi wa kibwetere (HR) limekuganda...! Kwa kukuongezea mashaka na presha nakuhakikishia CUF itabaki imara siku zote! Hao wanaoondoka na watakaondoka (baada ya huku ya HR) hawakustahili kuwemo! CUF ni kama bahari, kamwe haikai na uchafu, lakini pia haikauki!
CUF si chama cha msimu, ndo mwanzilishi wa vyama vingi, ni chama dume, ni mzoefu wa siasa! Ni imara! Hili ni wimbi tu linapita, halafu litatulia, hakuna bahari isiyo na mawimbi!
Kibwetere?!! Haya SULTANI maalim! HAKIIII (kwa wachache!)Inasikitisha kuona Zanzibar sio Tanganyika kuna watu wengi sana bado mmelala....kwa komenti hii ww Ni lazima wa Huko visiwani tu Sikulaumu, lakini elewa kwamba yeyote mwenye upeo sahihi hawezi kuzungumza ulichoandika, udume huo wa Cuf umeujulia wapi? Je, unafahamu kwamba huyo Bwana wako Maalim alikaribishwa kwny chama na huyo kibwetere unayemtaja? Nani anayeweza kuzungumza CUF hapo! Uwepo wa cuf upo tu na utaendelea kuwepo lakini lakini Ni dormant! Ni sawa na mfu tu AMA jiwe....kaa ukielewa 2015 kura hazitotosha, hakutokuwa na Viti maalum, na Huko Pemba mtagawana Viti na kibwetere ilhali atakuwa na Viti vya kutosha bara....imekaaje hiyo hapo?!Hahahaha naona we mfuasi wa kibwetere (HR) limekuganda...! Kwa kukuongezea mashaka na presha nakuhakikishia CUF itabaki imara siku zote! Hao wanaoondoka na watakaondoka (baada ya huku ya HR) hawakustahili kuwemo! CUF ni kama bahari, kamwe haikai na uchafu, lakini pia haikauki! CUF si chama cha msimu, ndo mwanzilishi wa vyama vingi, ni chama dume, ni mzoefu wa siasa! Ni imara! Hili ni wimbi tu linapita, halafu litatulia, hakuna bahari isiyo na mawimbi!
Kibwetere?!! Haya SULTANI maalim! HAKIIII (kwa wachache!)Inasikitisha kuona Zanzibar sio Tanganyika kuna watu wengi sana bado mmelala....kwa komenti hii ww Ni lazima wa Huko visiwani tu Sikulaumu, lakini elewa kwamba yeyote mwenye upeo sahihi hawezi kuzungumza ulichoandika, udume huo wa Cuf umeujulia wapi? Je, unafahamu kwamba huyo Bwana wako Maalim alikaribishwa kwny chama na huyo kibwetere unayemtaja? Nani anayeweza kuzungumza CUF hapo! Uwepo wa cuf upo tu na utaendelea kuwepo lakini lakini Ni dormant! Ni sawa na mfu tu AMA jiwe....kaa ukielewa 2015 kura hazitotosha, hakutokuwa na Viti maalum, na Huko Pemba mtagawana Viti na kibwetere ilhali atakuwa na Viti vya kutosha bara....imekaaje hiyo hapo?!WIMBI HILI HALIPITI BURE BURE LINAONDOKA NA CHOMBO.Hahahaha naona we mfuasi wa kibwetere (HR) limekuganda...! Kwa kukuongezea mashaka na presha nakuhakikishia CUF itabaki imara siku zote! Hao wanaoondoka na watakaondoka (baada ya huku ya HR) hawakustahili kuwemo! CUF ni kama bahari, kamwe haikai na uchafu, lakini pia haikauki! CUF si chama cha msimu, ndo mwanzilishi wa vyama vingi, ni chama dume, ni mzoefu wa siasa! Ni imara! Hili ni wimbi tu linapita, halafu litatulia, hakuna bahari isiyo na mawimbi!