Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Walikuwa wamejiegesha CCM na wengi walikuwa hawana vyamaMkuu, kwani kabla hawajaenda CUF walikuwa chama gani?
Walikuwa wamejiegesha CCM na wengi walikuwa hawana vyamaMkuu, kwani kabla hawajaenda CUF walikuwa chama gani?
Fanya siasa katika eneo ulilochaguliwaLizaboni mbona mnafanya siasa na mkuu sana kakataa au hiyo amri haiwahusu na nyie bhaana
sababu kubwa ni DINI kama ilivyo Pemba na TangaCUF ni miongoni kwa vyama vichache Tanzania chenye wanachama wa damu kabisa, yaani hao wanachama wa CUF kanda ya Kusini wana sababu zao za kuwa CUF ambazo CCM wala Chadema hazipo
Wameenda kupiga hela tu hao kwenye mioyo yao bado ni CUF
Kwa hiyo wamerejea kwenye chama cha kujiegesha?Walikuwa wamejiegesha CCM na wengi walikuwa hawana vyama
Duh! Umevurugwa weweHata kama chanzo cha taarifa ni TBC1 habari sasa ndio iwe hivi; vijana zaidi ya 300 walioachana na CUF na kujiunga na CCM ambapo kwa sasa wameamua kuchapa kazi kupitia kikundi chao za ujasiriamali kinachojishughulisha na kilimo cha mbogamboga. kwahiyo sasa hivi ccm kimekuwa ni kikundi cha ujasiriamali cha mbogamboga?
CUF kimejiua chanyewe. Hakipo Bara wala visiwaniCUF wanajua kwanini chama chao kinakufa kwa upande wa Bara
Wameingia mtego wa UKAWA na wamekwisha,hapa ni CCM Pale Chadema,CUF tupa kulee
Kaka wanakujankuchota fedha hapo pa kupiga kura wanapajuaKwa hiyo wamerejea kwenye chama cha kujiegesha?
Jaribu kupitia michango yako ya awali uone uongo wako.
Kumbe yeye anaruhusiwa kufanya siasa??Chama cha Wananchi, CUF kimeendelea kusambaratishwa Tanzania Bara. Maelfu kwa maelfu ya wafuasi wake wameendelea kukikimbia chama hicho na kujiunga na chama kubwa, CCM. Safari hii ni zamu ya vijana zaidi ya 300 walioachana na CUF na kujiunga na CCM ambapo kwa sasa wameamua kuchapa kazi kupitia kikundi chao za ujasiriamali kinachojishughulisha na kilimo cha mbogamboga.
Wanachama hao wamepokelewa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Anastazia Wambura alipofanya ziara ya kikazi mkoani humo.
Vijana hao wamesema kuwa wakati wanajiunga na CUF walishawishiwa kipindi ambacho kulikuwa na vuguvugu la gesi. Kwa sasa ukweli wameuona na wameamua kuachana na vyama vya kitapeli na kilaghai.
Chanzo: TBC1 Habari
Nakuambia hivi KUHAMA CHAMA KWA SASA SIO HABARI KABISA SIO MAGAZETINI TU HATA MITANDAONI,,,,Mkuu, watu wakihama kwenye vyama vyenu na kujiunga na CCM mnasema si big news ila wakihama CCM na kujiunga na magenge yenu mnaitisha Press tena inarushwa live. Kichekesho
Nakuambia hivi KUHAMA CHAMA KWA SASA SIO HABARI KABISA SIO MAGAZETINI TU HATA MITANDAONI,,,,Mkuu, watu wakihama kwenye vyama vyenu na kujiunga na CCM mnasema si big news ila wakihama CCM na kujiunga na magenge yenu mnaitisha Press tena inarushwa live. Kichekesho
MWANACHAMA WA CUF KUTOKA CUF NI SAWA NA MTU KUBADILI DINI UKIONA HIVYO WANAFUATA MIKOPO IKIISHA WANARUDI CHAMA DAMUChama cha Wananchi, CUF kimeendelea kusambaratishwa Tanzania Bara. Maelfu kwa maelfu ya wafuasi wake wameendelea kukikimbia chama hicho na kujiunga na chama kubwa, CCM. Safari hii ni zamu ya vijana zaidi ya 300 walioachana na CUF na kujiunga na CCM ambapo kwa sasa wameamua kuchapa kazi kupitia kikundi chao za ujasiriamali kinachojishughulisha na kilimo cha mbogamboga.
Wanachama hao wamepokelewa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo, Anastazia Wambura alipofanya ziara ya kikazi mkoani humo.
Vijana hao wamesema kuwa wakati wanajiunga na CUF walishawishiwa kipindi ambacho kulikuwa na vuguvugu la gesi. Kwa sasa ukweli wameuona na wameamua kuachana na vyama vya kitapeli na kilaghai.
Chanzo: TBC1 Habari
Hata mimi nimeona taarifa ya habari TBC1 leo saa tano asubuhi. Ni habari ya kweli.Wapi chanzo cha taarifa yako?
Vigezo kwamba imeimarika? Tangu uchaguzi wa mwaka jana sijawasikia kabisaa wakifanya vikao ni sawa na Nccr. Namiona tu Mtatiro mitandaoni amekuwa mpiga debe wa Lowassa.CUF YA WAKATI HUU IMEIMARIKA ZAID KULIKO WAKATI WOWOTE.HAYO YA MTWARA YASIKUDANGANYE.