Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,860
- 26,553
Hayo ni mawazo yako.Hta kujinyonga ni dhambi,ndio maana mtu anayejaribu kujiua Jamhuri humshtaki
Hayo ni mawazo yako.Hta kujinyonga ni dhambi,ndio maana mtu anayejaribu kujiua Jamhuri humshtaki
Kama kawaida ya maukawa kuwakana member wakeHakuna cha vijana 300 wala nini. Ni uongo uliokubuhu unaoenezwa na CCM. Mtwara ni ngome na itaendelea kuwa ngome imara ya CUF. Hao hawajawahi kuwa wanachama wa CUF bali ni vijana wachache wenye njaa na ambao wanataka kujipatia kipato ili kukidhi njaa waliyonayo. Hadi leo ukipita kwenye mitaa ya Mkana Red, Mangowera, Ligula, Chikongola, Kisutu, Likonde, Magomeni, Mangamba, Mdenga hadi Msanga mkuu ni mitaa ambayo hutakuta bendera ya CCM inapepea isipokuwa kwenye ofisi ya tawi. CCM hapa Mtwara mjini ni kama imekufa.
Hujawah kusikia mtu akifikishwa mahakam kwa kusudio la kutaka kujiua?Hayo ni mawazo yako.
Ukishajinyonga huwezi kupelekwa mahakamani.Hujawah kusikia mtu akifikishwa mahakam kwa kusudio la kutaka kujiua?
Haya si mawazo yangu vitabu vya dini vimeshatoa fatwa kuwa "KUJIUA NI DHAMBI"
Wale walikuwa ni vijana wa chadema mkuu tena nawafahamu mpaka majina.Hivi wale vijana waliopewa tisheti za Dr Silaa wakaandamana walikua ni wa chama kipi?
Wale walikuwa ni vijana wa chadema mkuu tena nawafahamu mpaka majina.
Wala sitachoka kukuelimisha maana una Magonjwa Mtambuka ,nimeandika kuwa jamhuri huwashtaki watu wanaokusudia KUJIUA sio WALIOJIUA...aliyekusudia maana yake zoezi la kujiua limefeli na hapo Jamhuri huingia kumkamata na kumshtaki.Ukishajinyonga huwezi kupelekwa mahakamani.
mdomo wa chama tawalaChanzo: TBC1 Habari
Kwani vyama vyengine visharuhusiwa kufanya mikutano ya siasa kutafuta wanachama wapya?Mkuu, watu wakihama kwenye vyama vyenu na kujiunga na CCM mnasema si big news ila wakihama CCM na kujiunga na magenge yenu mnaitisha Press tena inarushwa live. Kichekesho
Sahau. Huwezi kunielimisha. Tumia hizo nguvu kujielimisha mwenyewe.Wala sitachoka kukuelimisha maana una Magonjwa Mtambuka ,nimeandika kuwa jamhuri huwashtaki watu wanaokusudia KUJIUA sio WALIOJIUA...aliyekusudia maana yake zoezi la kujiua limefeli na hapo Jamhuri huingia kumkamata na kumshtaki.
Sasa kama unaamini MTU ALIYEJIUA anashtakiwa wewe ni wa kusaidiwa tu......hata maandiko yako yanaonesha unahitaji kusaidiwa,,,,kuelimishwa hakuna mwishoSahau. Huwezi kunielimisha. Tumia hizo nguvu kujielimisha mwenyewe.
Ziwezi kuendeleza majibishano ya kipuuzi.Sasa kama unaamini MTU ALIYEJIUA anashtakiwa wewe ni wa kusaidiwa tu......hata maandiko yako yanaonesha unahitaji kusaidiwa,,,,kuelimishwa hakuna mwisho
Jambo jema umegundua kuwa wewe ni m.p.u.uziZiwezi kuendeleza majibishano ya kipuuzi.
Ha ha ha.Jambo jema umegundua kuwa wewe ni m.p.u.uzi