Baada ya harakati nyingi za siasa za muda mrefu kwa upande wa znz pamoja na mateso waliyopata viongozi wa Cuf na wanachama wake na wapenzi wake kutoka kwa serikali ya kidikteta ya CCM,sasa inaonekana kama kwamba historia mpya ya znz ikifika mwaka 2015 itaandikwa.
Kama Wiki mbili zilopita,ilikuwa siku ya jumapili,nilibahatika kuwaona baadhi ya viongozi wa Cuf znz wakienda ktk sehemu inayoitwa mkwajuni,nikabahatika kuongea na mtu mmoja ktk ule msafara ambae nafahamiana nae,ktk kumuuliza baadhi ya masuala...
Aliniambia Jimbo la mkwajuni Cuf wameshinda kwa kura nyingi lkn kama kawaida yao CCM wamefanya ufisadi wao, ( Note : jimbo la mkwajuni ilikuwa ni ngome kubwa ya ccm hasa ktk utawala wa Salmin ) kwa hiyo wanakwenda kuongea na wananchi pamoja na kufanya mikutano ya ndani na viongozi pamoja na wazee wa mkwajuni. Lengo nikuanza mikakati mipya kuanzia sasa na hakuna kulala mpaka mwaka huo 2015. akaniambia kwa sababu tayari njia ya kuchukua nchi ipo wazi,anasema kitendo cha sisi kuingia tu ktk serikali basi ni hatua kubwa ambayo itatufanya kuhakikisha mambo yote yanakuwa sawa na kuweza kuchukua nchi.
Anasema unaweza ukaona baadhi ya watu wanakupuuza kwa kuingia ktk serikali na kukubali ushindi wetu kuporwa lkn hawajui nini madhumuni yetu hasa,na hasa kwa upande wa znz tukisema kidogo majeshi kutoka bara ni mengi kuliko wananchi yanaletwa,sasa hii ni njia nyepesi ya kuchukua nchi na ndio maana unatuona hapa tunaanza harakati zetu kuanzia hivi sasa na hatulali tena kwa hivi sasa mpaka 2015 kwani tayari njia tushaiona.
My take.
Kwa kweli tokea uchaguzi uwishe naona kama Cuf wameamka znz kuliko hata miaka ya nyuma,kwani naona wanafungua matawi maeneo mengi pamoja na viongozi wao kufanya mikutano ktk maeneo mengi ya vijijini,tofauti kabisa na CCM ambayo inaoenekana wazi imekufa na inakufa kwa zaidi ya kasi ya miaka ya nyuma. CUF kama wamepata pumzi mpya kabisa kwa matumaini makubwa ya kuchukua nchi 2015 na wanawapiga bao CCM ktk maeneo mengi hivi sasa lkn wawaangalie sana CCM kwani waswahili wanasema kimya kingi,utamaliza mwenyewe.
Na kubwa hivi sasa naona namba za nyumba zinabadilishwa,nalo hilo linanitia hofu unamuona mwenzako kimya kumbe anaandaa mbinu za kisayansi. Liangaliwe.
Changia kama mwenye akili isiwe kinyume chake
Kama Wiki mbili zilopita,ilikuwa siku ya jumapili,nilibahatika kuwaona baadhi ya viongozi wa Cuf znz wakienda ktk sehemu inayoitwa mkwajuni,nikabahatika kuongea na mtu mmoja ktk ule msafara ambae nafahamiana nae,ktk kumuuliza baadhi ya masuala...
Aliniambia Jimbo la mkwajuni Cuf wameshinda kwa kura nyingi lkn kama kawaida yao CCM wamefanya ufisadi wao, ( Note : jimbo la mkwajuni ilikuwa ni ngome kubwa ya ccm hasa ktk utawala wa Salmin ) kwa hiyo wanakwenda kuongea na wananchi pamoja na kufanya mikutano ya ndani na viongozi pamoja na wazee wa mkwajuni. Lengo nikuanza mikakati mipya kuanzia sasa na hakuna kulala mpaka mwaka huo 2015. akaniambia kwa sababu tayari njia ya kuchukua nchi ipo wazi,anasema kitendo cha sisi kuingia tu ktk serikali basi ni hatua kubwa ambayo itatufanya kuhakikisha mambo yote yanakuwa sawa na kuweza kuchukua nchi.
Anasema unaweza ukaona baadhi ya watu wanakupuuza kwa kuingia ktk serikali na kukubali ushindi wetu kuporwa lkn hawajui nini madhumuni yetu hasa,na hasa kwa upande wa znz tukisema kidogo majeshi kutoka bara ni mengi kuliko wananchi yanaletwa,sasa hii ni njia nyepesi ya kuchukua nchi na ndio maana unatuona hapa tunaanza harakati zetu kuanzia hivi sasa na hatulali tena kwa hivi sasa mpaka 2015 kwani tayari njia tushaiona.
My take.
Kwa kweli tokea uchaguzi uwishe naona kama Cuf wameamka znz kuliko hata miaka ya nyuma,kwani naona wanafungua matawi maeneo mengi pamoja na viongozi wao kufanya mikutano ktk maeneo mengi ya vijijini,tofauti kabisa na CCM ambayo inaoenekana wazi imekufa na inakufa kwa zaidi ya kasi ya miaka ya nyuma. CUF kama wamepata pumzi mpya kabisa kwa matumaini makubwa ya kuchukua nchi 2015 na wanawapiga bao CCM ktk maeneo mengi hivi sasa lkn wawaangalie sana CCM kwani waswahili wanasema kimya kingi,utamaliza mwenyewe.
Na kubwa hivi sasa naona namba za nyumba zinabadilishwa,nalo hilo linanitia hofu unamuona mwenzako kimya kumbe anaandaa mbinu za kisayansi. Liangaliwe.
Changia kama mwenye akili isiwe kinyume chake