Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Una hakika na hilo lekundu? Umeshamsikiliza Dr Slaa vizuri ndugu?
Wanaongea in general shida za nchi, lakini hata siku moja hawajasema jinsi hao watu walivyo hovyo. At least mimi sijawahi kusikia wakizungumza hilo. Kesho kutwa 2015 Mwandosya atagombea Urais (or at least atajaribu). Ishu sio shida za nchi, maana hata ccm watasema tunapambana nazo, ishu ni yeye anaweza. Na katika hilo lazima muweke track record yake wazi. Sasa kweli katika kampeni zote 2005/10 hakuna mtu aliyeonyesha jinsi kikwete alivyo nanga na kupewa wizara nyeti bila kuweza kazi? Kutoa facts kama hizi kungebadilisha minds za wangapi?