Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,391
- 81,867
Kama hajamuoa bado huyo manzi, basi Saudi Arabia watakuwa wametikisa masikio yao kwa kumruhusu Ronaldo kuishi kisela na Georgina, kinyume kabisa na utamaduni wa nchi yao.Ameoa lini?!
Kama hajamuoa bado huyo manzi, basi Saudi Arabia watakuwa wametikisa masikio yao kwa kumruhusu Ronaldo kuishi kisela na Georgina, kinyume kabisa na utamaduni wa nchi yao.Ameoa lini?!
Nimemuona pia yupo na mchepuko wake na akula bata vizuri ila wewe ukienda na mchepuko wako huko unakula viboko...Ronaldo yupo juu ya dini ya MudiUmemuona Ronaldo anasujudu?
Naam, siyo ubampangia Mungu, eti kila unapopata nafasi, inatakiwa umsujudie Muumba wako kwanza halafu ndiyo mengineMimi kila nikipata nafasi huwa namsujudia Mungu wangu...kwakua Mimi sijashikwa akili kama wewe kwakua umekimbia maswali
Ndio maana hata hadithi zake hauzikubali...kesho karibu kwenye mkesha Bibie!!Huyo mudi wako unamjuwa wewe, mimi simfahamu.
Ila uislamu ni dini ya ajabu kweli.View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Kama hajamuoa bado huyo manzi, basi Saudi Arabia watakuwa wametikisa masikio yao kwa kumruhusu Ronaldo kuishi kisela na Georgina, kinyume kabisa na utamaduni wa nchi yao.
View attachment 2633895
Baada ya kupiga bao muhimu Ronaldo akashangilia kwa kusujudu kama wafanyavyo Waislam.
Huu ni mwanzo wa Ronaldo kusilimu au ni raha za furaha iliyopitiliza (euphoria)?
Tumewahi kumuona mara nyingi, kama si zote, kila Ronaldo anapopiga bao huwa na kawaida ya kufanya ishara ya alama ya msalaba, kwa mara ya kwanza na ya kushangaza tunamuona Ronaldo akisujudu kama wafanyavyo Waislam uwanjani baada ya kupiga bao.
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Haimaanishi yeye ni mwislam hata angeingia msikitiniKweli kabisa, ni vyema furaha yake imetufurahisha zaidi
Mradi kaanza kusujudu, aliyemsujudia atamwongowa, usiwe na hofu.
In Shaa Allah na wewe "maweed" yatakusannif usujudu.
Jifurahishe tu, unaonesha hata unachokisoma hukielewi, naemsujudia mnyama au binadam mwenzake ni mshirikina tu.Kwani kusujudu ni kufanya nini??
Ni Heshima au Ibada??
Yesu Ametahadharisha sana kusujudu na kupata alama usoni(sigda)
Revelation 14:9-12
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,
[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.
[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.
[12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.
Tunaona watu wanasujudu na kupata sigda ukiwauliza kuhusu hiyo sigda wanakujibu hiyo ni tochi! Cha kushangara Mungu ni Nuru hiyo tochi ya kumulika kuzimu Wanako enda?? Ref!; Suratul mariam.71!
Jee shetani uchu wake wa kusujudiwa uliisha??
Kawapata wa kumsujudia