Cristiano Ronaldo asujudu baada ya kufunga goli muhimu

KINACHONISHANGAZA HATA UKIINGIA GOGLE AU CHAT GTP ukaandika waraqan bin Nawfah ni nani UNAPATA majibu.

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo na alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inasemekana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake.


Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira. Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W).

Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
Hata biblia imetabiri ujio wa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi wasalaam. Kwa wenye kuelewa.
 
Jifurahishe tu, unaonesha hata unachokisoma hukielewi, naemsujudia mnyama au binadam mwenzake ni mshirikina tu.


DINI YENU Imeanzishwa( VATCAN )MNYAMA WA WA NNE.

YANI KWA KIFUPI.
SHETANI + MAJINI + VATCAN +MOHAMED.

Sema Huwa nakuhurumia sana Kwa huo ubishi wako.
MTAFUTE padre ALIYEANZISHA UISLAMU anaitwa WARAQ bin Nawfah UTAELEWA zaidi.

Japo najua sikio la kufa halisikii Dawa.
 
JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.


HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????


Shetani hakuwafīcha kuwa anawapeleka motoni


وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

[ MARYAM - 71 ]
Na hakuna yeyote katika nyinyi ila mwenye kuifikia jehannam Hiyo ndiyo hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.

allah mwenyewe makazi yake ni motoni!

Sahih al-Bukhari 4848
Narrated Anas:
The Prophet (ﷺ) said, "The people will be thrown into the (Hell) Fire and it will say: "Are there any more (to come)?' (50.30) till Allah puts His Foot over it and it will say, 'Qati! Qati! (Enough Enough!)'"
حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ أَبِي الأَسْوَدِ، حَدَّثَنَا حَرَمِيٌّ، حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، عَنْ قَتَادَةَ، عَنْ أَنَسٍ ـ رضى الله عنه ـ عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يُلْقَى فِي النَّارِ وَتَقُولُ هَلْ مِنْ مَزِيدٍ‏.‏ حَتَّى يَضَعَ قَدَمَهُ فَتَقُولُ قَطِ قَطِ ‏"‏‏.‏
Reference : Sahih al-Bukhari 4848
In-book reference : Book 65, Hadith 369

Kama anaebishia allah sio maskani yake motoni atuwekee ushahidi aliutoa mguu wake motoni lini.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9.
 
Ahsante sana, umeshawahi kusoma Qur'an?

Unadhani Mimi ni MPUUZI kumshambulia MTUME?????

Unaniona MJINGA??????

Au Unadhani ninajifurahisha????

Mbona WENZIO WANAKUJA PM tunawaelekeza na wengine wanaomba UFAFANUZI zaidi tunawafafanulia Kila kitu.

Wengine wanalia kwamba walikuwa upotevuni bila KUJUA.

SHAURI YAKO.
Mimi nimesha kufikishia UJUMBE.
Sina deni
 
WE BIBI MBONA UNAZUNGUKA NIMEKULIZA NI WATU WA DINI GANI WANA UTAMADUNI WA KUSUJUDU MBONA UNAKUA KAMA PUNGUANI

Wewe ndio hujaelewa, wanaomsujudia Allah unawajua ni wa imani ipi! Mmoja wao ni mimi muislamu, I'm so proud to be a Muslim,

Na asiekua muislamu hata asujudu vipi kama si muislamu ni kazi bure tu,
Hivyo ninaheshimu imani za wengine though tunatofautiana kiimani, so wewe ni mpagani na mimi nina dini/muislamu


إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
19 Al-'Imran
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.


Allah akuongoze mkuu dunga mawe , karibu sana katika Uisilamu, dini ya kweli na ya haki, na amani tele
 
Wewe ndio hujaelewa, wanaomsujudia Allah unawajua ni wa imani ipi! Mmoja wao ni mimi muislamu, I'msoproudtobeaMuslim

Na asiekua muislamu hata asujudu vipi kama si muislamu ni kazi bure tu,
Hivyo ninaheshimu imani za wengine though tunatofautiana kiimani, wewe ni mpagani na mimi nina dini/muislamu

إِنَّ الدِّينَ عِنْدَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِنْ بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَنْ يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
19 Al-'Imran
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.


Allah akuongoze mkuu dunga mawe , karibu sana katika Uisilamu, dini ya kweli na ya haki, na amani tele
Hao ndugu zetu inaonesha "wamefurahi" sana kumuona Ronaldo akishangilia kwa kusujudu. Au wameudhika?

Wanasikitisha.
 
Mimi naamini Yesu kristo na utatu mtakatifu
Hata mimi naamini Yesu ni masihi, pia naamini hakuna pahala Yesu kasema "Mimi Mungu" au "Niabuduni", wala Yesu hajawahi kufundisha "utatu".

Sasa wewe kwa kuamini utatu, humuamini Yesu unamuamini mchungaji unaemfata.
 
Hata mimi naamini Yesu ni masihi, pia naamini hakuna pahala Yesu kasema "Mimi Mungu" au "Niabuduni", wala Yesu hajawahi kufundisha "utatu".

Sasa wewe kwa kuamini utatu, humuamini Yesu unamuamini mchungaji unaemfata.
Ndio
 
Kama unajua ni unyenyekevu kwa mungu inakuwaje ukienda kusali huwa usujudu unaishia kupiga sebene kila jumapili
Kweni kupiga magoti siyo ishala ya unyenyekevu? Mbona mnafundishanaga mpaka ngono na watu hawasemi? Yaani unakutana na shekhe anaongea upuuzi na watu wanaitikia eti takbiri, mi nadhani una upungufu wa akili kidogo
 
Back
Top Bottom