CRDB: Sikio la kufa!?

Mbona umekuwa mwepesi wa kuconclude? Kuna mambo mengi yanachangia kuongezeka na kupungua kwa hisa. Hoja ya kwamba hisa zitaendelea kushuka sijui umeitoa wapi. Tunataraji demand na supply ya hisa zenyewe ndiyo iamua share prices zinaelekea wapi. Hiyo mara nyingi inasababishwa na information zilizopo kwenye market. Mf information kwamba bank inapitisha pesa chafu ilipaswa kabisa kuifanya performance ya benki iwe mbaya na hii ingekuwa reflected kwenye share price. Kwa nchi km yetu market si efficiency ila katika hali yoote jamaa wakijiondokea share prices zitakwenda chini zaidi. unless waondoke taratibu. Lingine ni future potential ya benki. Kwa CRDB hili si baya maana ndiyo inaonekana kuwa the leading bank in the country.
Jingine ambalo limesababisha kushuka kwa share ni vile NMB walivyofloat share zao, investors wakawa wanachoice nyingi na appertite pia ikabadilika.
Angalizo; Share price sio lazima ziongezeke zinaweza kupungua pia, rejea TOL na FTSE 100, utaona ni kiasi gani shares za kampuni ziliporomoka.

Asante kwa shule hii,i think its vital we all listen and learn than speculate and shout
 
Ni point nzuri kuna issue ya institution investor km ulivyosema na mwishoni unakiri mchango wa uongozi wa DANIDA umeisaidia benki kufika hapo. Sasa km faida ya benki inategemea uongozi wa kundi linaloondoka unadhani institution ipi ipo tayari kupeleka pesa sehem ambapo ina my opinion hapako stable? Maana wataingia watu wengine ambao uzoefu wao haufahamiki kama DANIDA, in the end hata instituions zenyewe zitakuwa na uwezo wa kubargain share price na ndio hapo poromoko la bei linaanzia.

Nilichosema kwamba wametoa mchango wao mkubwa sana katika benki, lakini sio kwamba uongozi na mafanikio yote yanatoka DANIDA-hapana. Ninakiri na kukbali mchango wao kwani Wameijengea benki uwezo wa uongozi, na kumekuwa na experience sharing na Denmark-hilo ndilo nionavyo mimi linaweza kukosekana. Kumbuka, mambo yanabadilika upesi na watu wetu wamekuwa wakipata nafasi za kujifunza huko.
 
Ndeshingio wewe ni mchaga nini? mbona unajitambulisha hapa? any way karibu sana jisikie upo nyumbani.

Ha ha ha !!
Aisee Ndeshingio hapa tuaonge?..ongea pesa kweli
Sasa katika inji hii karibu JF tongee pesa!
 
Wadau ni lazima tuelewe the motive behind ya mtoa hoja.
Pesa kama pesa peke yake haina thamani zaidi ya kuwa na face value ya kuwa na uwezo tu wa kununua kitu.
Ni pale pesa hiyo inapopewa thamani ya kuwa capital ndo inaanza kuwa na potential ya kufanyiwa biashara.
Mimi si mchumi lakini najua kwamba huwezi tu leo ukaamka asubuhi ukafloat shares zako kwa biashara unayoifanya ili kucapitalise base (mtaji)wa biashara yako.
Mtu ukitaka mtaji toka kwa mtu mwingine ingalau basi uwe wa kuaminika kuwa pesa anayowekeza mwingine kwako iko salama na haitashuka thamani yake.

CRDB bado ni benki kubwa na imekuwa inafanya biashara kubwa sana katika sekta ya benki.
Lakini hawakuanzia hapo maana walipata msaada mkubwa sana kutoka DANIDA kwa injection ya capital ,msaada wa uongozi na utendaji wa kibenki,na vile vile upunguzaji mkubwa wa madeni yaliyorithiwa toka ikiwa benki ya Vyama vya Ushirika.
Sakata la EPA lmeuumbua uongozi wa benki hii kwani kila mtu anajua kwamba CRDB imeshiriki kikamilifu kuwaibia watanzania.
Kuna benki zenye heshima zilikataa katakata kushiriki kwenye wizi huu.
Sasa hapa imekaaje?
Au ni swala la mwanao mpe mchawi akulelee?
Utapelekaje amana zako kwenye benki iliyoshiriki kumwibia baba yake, BOT?
Nafikiri ndio swala ambalo DANIDA wamelifikiria sana.
Kwa wale wasio wafahamu wenzetu wa Denmark wanchukia sana , tena sana corruption.
Katika misaada yao miaka kadhaa iliyopita,ambayo mimi nimewahi kushiriki,kusign tamko la kutoshiriki rushwa ni mandatory.
Na hili si suala la ajabu sana.
Tusiwachukie wazungu kama wazungu lakini tunapoweza kufanya kazi zaidi yao hapo tujipongeze.
Hata hivyo mifano ni michache sana ya mafanikio ya miradi ya pesa tunayoiendesha wenyewe.
Kama alivyo sema mdau mmoja hapo awali DECI zilipoanza watu hawakushituka mpaka ikawa too late. Na hii ni baada ya kumeza hata fedha za serikali.
Be warned
 
kama wameanzisha bank fee ya 3000 per month naondoa kamshahara kangu nakapeleka NMB
 
Tuwe na imani na uwezo wa watanzania, CRDB inaongozwa na watanzania .. Danida by the way ni shreholder lakini sehemu kubwa ya management ni wabongo .. tujiamini jamani yani kwa kuwa benki inafanya vizuri eti nis sababu ya Danida? Biashara kuu ya benki ni kupokea amana kwa kiwango fulani cha riba na kukopesha kwa kiwango cha riba zaidi ya kile unacholipa .. sio lazima mzungu ndio uperform .. hapo angalia management ya benki utagundua 99% asilimia ni watanzania .. tujiamini ... uwezo tunao..
 
Good Points.

One thing kwa uelewa wangu nafikiri once kampuni ikishaingia kwenye secondary market kama ambao CRDB imeingia shareholders wanatrade stock zao huko huko. Kama ambavyo mimi siwezi kwenda CRDB kusema narudisha my 100 shares nataka hela zangu, I would imagine neither can DANIDA. They would have to put them on offer through DSE kama everyone else and wait for a buyer. I may be wrong though, them being large shareholders and all. My thinking is if DANIDA and CRDB have a fallout and what the original posters says is allowed, who determines how much CRDB pays DANIDA to "buy back" its shares?
wewe na danida mna rights tofauti
wewe ni ordinary shareholder huna nguvu yeyote
danida wanamkataba tofauti na wewe na wanaweza waka pullout
crdb ikifilisika danida ni wa kwanza kulipwa alafu ndio wanafuatiwa watu wengine.
kwa kifupi danida ni instutional shareholder na mkataba wao ni tofauti. Danida wanaweza wakawa na mkataba ambao share zao hazishuki wao wanaenyjoy dividends tuu. je CRDB watoa wapi pesa za kuwarudishia kwa kipindi hichi ambacho performance ya share zao si nzuri? labda right issue ambayo itashusha share zao further...

kwa kifupi danida wakipullout CRDB watakuwa hawa meet min capital requirement (Tier 1 regulatory capital) na pia watakuwa na liqudity problem. BOT inabidi iingilie kati na iipe hela CRDB ASAP ili iweze kuishi.

ndugu yangu hizo figure za profit zisikutishe, mabanki makubwa yote duniani yalikuwa yanapata faida lakini mwaka jana yote yalikuwa bailed out kasoro HSBC. Barclays walienda middle east kuchukua hela.

usiombee danida ku pullot na sidhani kama wanaweza wakafanya hivyo, laazima watafanya slowly
 
wewe na danida mna rights tofauti
wewe ni ordinary shareholder huna nguvu yeyote
danida wanamkataba tofauti na wewe na wanaweza waka pullout
crdb ikifilisika danida ni wa kwanza kulipwa alafu ndio wanafuatiwa watu wengine.
kwa kifupi danida ni instutional shareholder na mkataba wao ni tofauti. Danida wanaweza wakawa na mkataba ambao share zao hazishuki wao wanaenyjoy dividends tuu. je CRDB watoa wapi pesa za kuwarudishia kwa kipindi hichi ambacho performance ya share zao si nzuri? labda right issue ambayo itashusha share zao further...

kwa kifupi danida wakipullout CRDB watakuwa hawa meet min capital requirement (Tier 1 regulatory capital) na pia watakuwa na liqudity problem. BOT inabidi iingilie kati na iipe hela CRDB ASAP ili iweze kuishi.

ndugu yangu hizo figure za profit zisikutishe, mabanki makubwa yote duniani yalikuwa yanapata faida lakini mwaka jana yote yalikuwa bailed out kasoro HSBC. Barclays walienda middle east kuchukua hela.

usiombee danida ku pullot na sidhani kama wanaweza wakafanya hivyo, laazima watafanya slowly
Mkuu nimefurahia hii post. Kwamba DANIDA si ordinary shareholders? Inamaana ni preferential au unataka kusema nini? Binafsi naamini DANIDA ni shareholders na ninaomba kufaham hii concept kwamba wao share zao zinakuwa fixed kwamba hazishuki. Mie nadhani km ni fixed then hao ni debt holders of which is not true kwa DANIDA. Kaka hii concept ya tier 1 nadhani umeenda mbali zaidi sijui umekokotoa kwenye basel ipi. Maana share wanazomiliki sidhani km zinaweza kuleta kimuhemuhe kwenye tier. Its good to share knowledge however implimentation of puling out shares remains a speculation.
 
Mkuu nimefurahia hii post. Kwamba DANIDA si ordinary shareholders? Inamaana ni preferential au unataka kusema nini? Binafsi naamini DANIDA ni shareholders na ninaomba kufaham hii concept kwamba wao share zao zinakuwa fixed kwamba hazishuki. Mie nadhani km ni fixed then hao ni debt holders of which is not true kwa DANIDA. Kaka hii concept ya tier 1 nadhani umeenda mbali zaidi sijui umekokotoa kwenye basel ipi. Maana share wanazomiliki sidhani km zinaweza kuleta kimuhemuhe kwenye tier. Its good to share knowledge however implimentation of puling out shares remains a speculation.

wakati danida wanaingia CRDB ilikuwa haiko listed. danida waliingia pale kama kuipa msaada serikali na kumiliki 30%. waliingia pale kutumia danida investment fund kama sikosei mid 1990's.wali invest $3m sijui ni kama kiasi gani kwa wakati huu ...
mpaka sasa hivi wameuza 5% of the shares to the public mwaka jana.
wamebakiza 25%, ni ukweli kwamba danida wata pull out, na wata pull out taratibu kama mkataba wao na crdb na serikali unavyosema. hela zitakazopatikana zitatumika kufadhili miradi mingine ya serikali.

kwa hiyo hii pull out sio speculation au malicious na wala haiusiani chochote na epa, ni part of their plan.

kuhusiana na share zao nimesema labda na sio certain kama share zao hazishuki, sina uhakika nacho kwa ajili sijui kilicho kwenye agreements between the parties.
bnhai wanamiliki 25%. by any standards ni kubwa. hii ni kwenye basel 1 lakini hata ii.
by the way basel ii wanataka kuingoza iwe more than 8%.

anyway thanks kwa mchango wako
 
wakati danida wanaingia CRDB ilikuwa haiko listed. danida waliingia pale kama kuipa msaada serikali na kumiliki 30%. waliingia pale kutumia danida investment fund kama sikosei mid 1990's.wali invest $3m sijui ni kama kiasi gani kwa wakati huu ...
mpaka sasa hivi wameuza 5% of the shares to the public mwaka jana.
wamebakiza 25%, ni ukweli kwamba danida wata pull out, na wata pull out taratibu kama mkataba wao na crdb na serikali unavyosema. hela zitakazopatikana zitatumika kufadhili miradi mingine ya serikali.

kwa hiyo hii pull out sio speculation au malicious na wala haiusiani chochote na epa, ni part of their plan.

kuhusiana na share zao nimesema labda na sio certain kama share zao hazishuki, sina uhakika nacho kwa ajili sijui kilicho kwenye agreements between the parties.
bnhai wanamiliki 25%. by any standards ni kubwa. hii ni kwenye basel 1 lakini hata ii.
by the way basel ii wanataka kuingoza iwe more than 8%.

anyway thanks kwa mchango wako
Asante saana kwa post hii. Ingawa bado haipo clear saana km ni shareholders au debt holders. Well mie naamini ni shareholders na ndio maana waliweza kuweka watu wao kuchangia katika kiuongozi. Na kama ni shareholders basi ni ordinary tu. Nadhani hii ipo pia Twiga Cement. Ukipata muda ukapitia statements zao za miaka 5 au zaidi utachoka zaidi. Pulling out kwa DANIDA nadhani na hili ni pigo ingawa watu wanadai Watanzania wana skills za kutosha lkn watanzania mara nyingi huongozwa na siasa kuliko utaalam.
Kuhusu basel ii nadhani ni extention ya basel i though hii naiona kama imeonyesha failure kabla ya kuanza. Maana basel ii inatoa muongozo wa kuwepo kwa internal model za kumonitor risks na regulators wakiwa wanapita mara kwa mara kuangalia compliance. Nasema imefel kwa sababu kuna regulations juu ya regulations, baada ya mtikisiko kila siku sheria mpya zinakuja kubana watu kuchukua risks.
 
Asante saana kwa post hii. Ingawa bado haipo clear saana km ni shareholders au debt holders. Well mie naamini ni shareholders na ndio maana waliweza kuweka watu wao kuchangia katika kiuongozi. Na kama ni shareholders basi ni ordinary tu. Nadhani hii ipo pia Twiga Cement. Ukipata muda ukapitia statements zao za miaka 5 au zaidi utachoka zaidi. Pulling out kwa DANIDA nadhani na hili ni pigo ingawa watu wanadai Watanzania wana skills za kutosha lkn watanzania mara nyingi huongozwa na siasa kuliko utaalam.
Kuhusu basel ii nadhani ni extention ya basel i though hii naiona kama imeonyesha failure kabla ya kuanza. Maana basel ii inatoa muongozo wa kuwepo kwa internal model za kumonitor risks na regulators wakiwa wanapita mara kwa mara kuangalia compliance. Nasema imefel kwa sababu kuna regulations juu ya regulations, baada ya mtikisiko kila siku sheria mpya zinakuja kubana watu kuchukua risks.

nakubaliana na wewe kabisa
watu hawaelewi, hamna kitu muhimu kama institutional investor kwenye kampuni uliyowekeza. shareholder mdogo huwezi ku police mabosi wanafanya nini sasa zote, huna hizo resource zote zote. licha ya kupolice danida pia wana watu wenye skills toafauti.
kuondoka kwa danida ni pigo kwa crdb shareholders kwa ajili mabosi watakuwa wanafanya watakavyo. tusubirie mishahara na bonus za ajabu
 
nakubaliana na wewe kabisa
watu hawaelewi, hamna kitu muhimu kama institutional investor kwenye kampuni uliyowekeza. shareholder mdogo huwezi ku police mabosi wanafanya nini sasa zote, huna hizo resource zote zote. licha ya kupolice danida pia wana watu wenye skills toafauti.
kuondoka kwa danida ni pigo kwa crdb shareholders kwa ajili mabosi watakuwa wanafanya watakavyo. tusubirie mishahara na bonus za ajabu

Mkuu Semilong, naona umesema haswa the bottom line.
Tumekuwa na benki zetu nyingi, na maarufu kati ya hizo ni NBC iliyoundwa kutokana na kutaifishwa mabenki kadhaa.
Kilichotokea NBC wote tunakielewa, benki iliendeshwa kisiasa kukidhi matakwa ya watawala na si vinginevyo.
Mpaka benki hii inauzwa ilikwisha jilimbikizia madeni lukuki.
CRDB nayo ilianzia mbali, ni vema tukakubali ukweli kuwa DANIDA kwa kuwekeza pale wliinyanyua sana CRDB.
Mimi sioni kama matatizo yaliyojitokeza(lack of integrity) yatatafutiwa ufumbuzi ili matatizo zaidi yasijejilimbikiza na hatimaye biashara ya CRDB kufifia.
 
Mkuu Semilong, naona umesema haswa the bottom line.
Tumekuwa na benki zetu nyingi, na maarufu kati ya hizo ni NBC iliyoundwa kutokana na kutaifishwa mabenki kadhaa.
Kilichotokea NBC wote tunakielewa, benki iliendeshwa kisiasa kukidhi matakwa ya watawala na si vinginevyo.
Mpaka benki hii inauzwa ilikwisha jilimbikizia madeni lukuki.
CRDB nayo ilianzia mbali, ni vema tukakubali ukweli kuwa DANIDA kwa kuwekeza pale wliinyanyua sana CRDB.
Mimi sioni kama matatizo yaliyojitokeza(lack of integrity) yatatafutiwa ufumbuzi ili matatizo zaidi yasijejilimbikiza na hatimaye biashara ya CRDB kufifia.


Gwakisa,

Constuctive criticisms, please!

Tuna vichache mno nchi hii vya kujivunia kiasi kwamba wakati mwingine inatusaidia, angalau psycologically, kushikilia vichache ambavyo tunaona vina ahueni. Toa ushauri utakaotusaidia kuimarisha benki hii ambayo sidhani kama inafanya vibaya pamoja na kwamba kuna mkono wa wageni. Wabongo siyo wabovu wote, angalia Serengeti inavyowatoa TBL jasho, na Wakenya wanavyoimezea mate (kutaka kuinunua)! Precision ni mfano mwingine.

Jambo ninaloliona hapa ni moja, ambalo is only too common kwetu sisi Waafrika, nalo ni kuona kama glasi imejaa nusu au iko tupu nusu! Tunajidharau na kupigana sisi kwa sisi kiasi cha kukatishana tamaa wenyewe. Kwa njia hii tunakuwa tumekwishashindwa vita vingi kabla ya kuanza.

Kama wazungu na wengineo wanaweza, na sisi tunaweza pia.

Glasi imejaa nusu! Tujazie ...
 
Back
Top Bottom