Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Labda kwa mwaka sio kwa mwezi....we buku tatu sio mchezo bana!!Isae!
Una uhakika kwamba unakatwa elfu tatu kila mwezi?
mimi pia ni mteja mwenye akaunti yangu na ya mtoto,nijuavyo mimi benki ilitukata elfu 3,000 mwezi wa nane kama malipo ya card ya visa!
sidhani kama wateja wote wa CRDB nchi nzima wangekaa kimya kwa kukatwa elfu tatu kila mwezi!kuwa mkweli ndugu yangu