miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Kachukue bwana..........,mm cjui ntachukua lin coz ndo namaliza mwaka huu Bachelor yngu ya uhasibu.
Napenda kuuliza wakuu cpa bado ina advantage siku hizi, maana nataka nikachukue lakini nasikia wanaziponda
Mkuu, naheshimu mchango wako ingawa kidogo unapotosha. Huwezi kusajiliwa kuwa tax consultant kama huna uzoefu unaotakikana. Na uzoefu ataupata kirahisi kupitia kuajiriwa au kufanya kazi na consultant ambaye ni mzoefu!Acha mawazo ya kizamani wewe...... Kumbe pamoja na usomi wooote huo bado unamawazo ya enzi za kuajiriwa!!!!! Unasoma ili ukaajiriwe na "wahindi......." Wakunyonye mshahara ndo utachekelea? Badala ya kusoma ili uelewe mambo kisha ukajiajiri wewe unataka CPA ili ukaajiriwe..... Ili upate mshahara wa nusu milioni kwa mwezi....wakati kumbe unao uwezo wa kupata milioni 20 kwa mwezi!!!! Acha unyonge wewe.....
Sasa nakupa ushauri:
1). Soma digrii yako ya accounting and finance
2). Kisha soma CPA
Halafu baada ya kuhitimu USIAJIRIWE KABISA!!! Tena hata ile ajira ya "kujishikiza usijaribu, acha....
Nenda Mamlaka ya Mapato Tanzania ukajisajili kama Tax Consultant. Kwa mujibu wa maelezo yako, wewe uko elligible kusajiliwa kama tax consultant chini ya kifungu cha 134 na regulation 37 ya sheria ya kodi ya mapato ya mwaka 2004. Fanya kazi kama tax consultant miaka mitatu kisha nenda NBAA (assuming tayari una CPA) wao watakusajili kama certified public accountant. Utakuwa unatengeneza mahesabu ya watu na pia kuwafanyia ushauri wa masuala ya kodi.
Nakuhakikishia hutatamani tena kuajiriwa..... Pesa utakayoipata kwa kipindi cha miaka ya mwanzo (miaka mitano mpaka kumi hivi) ni pesa ambayo hutakuja uipate kwa kuajiriwa hata kama utafanya kazi miaka sabini!!!! Amini nikuambiayo mimi.
Kama haitoshi naomba uni PM nikuelekeze zaidi....
Mkuu, naheshimu mchango wako ingawa kidogo unapotosha. Huwezi kusajiliwa kuwa tax consultant kama huna uzoefu unaotakikana. Na uzoefu ataupata kirahisi kupitia kuajiriwa au kufanya kazi na consultant ambaye ni mzoefu!
134.-(1) A person shall not (other than as an employee) in return for a payment practice or hold out to be an income tax consultant unless the person is an approved tax consultant. |
(2) Approved tax consultants shall be those persons as approved by the Commissioner on such terms and conditions as may be prescribed in the Regulations. |
(3) An approved Tax Consultant who knowingly or recklessly, aids, abets, conceals or induces a taxpayer to file a misleading or fraudulent statement commits an offence under this Act". Hebu soma na regulation yake: Regulation 37 to the Income Tax Act, 2004 37(1) Individuals meeting the following conditions may apply to the Commissioner in prescibed form and attaching the prescribed fee for approval as Tax Consultant for the purposes of this Act. (a) an individual holding one of the following academic qualifications- (i) a degree in Accountancy, Fianance, Financial Management, Commerce, Economics or Laws awarded by any University or other recognised Institution of higher learning; or (ii) a postgraduate diploma in Tax Management or equivalent qualification as may be recognized by the Commissioner for the purposes ofthis paragraph; o (b) a practitioner who is duly registered under the auditors and Accountants (Registration) Act, 1972 37(2) Subject to paragraph (4) the Commissioner shall assess applications made under paragraph (1) of this regulation and, if satisfied that the person is of good character and has sufficient knowledge and experience with respect to matters arising under the Act, may approve and register the person as Tax Consultant for the purposes of this act and issue the person with a certificate to that effect. 37(3) For the purpose of assessing a person under paragraph (2) of this regulation the Commissioner may require the applicant to take an examination or other form of assessment. 37(4) The Commissioner shall not approve an individual as a Tax Consultant if the indidual has convicted of (a) a criminal offence carrying a maximum penalty of a fine of not less than shillings 500,000 or imprisonment, or (b) gross misconduct Unaona mkuu..... Uzoefu haujatajwa kwenye sheria wala regulation. Kama uzoefu ungetakiwa wangetaja idadi ya miaka ya uzoefu. Sheria imetaja kiwango cha elimu tu na imesisitiza hapo. Na ndo maana sheria imetaka watu wanaoomba kuwa Tax Consultants wafanye mtihani na wakifaulu ndo wnapewa certificate ya kuwakubalia kufanya kazi hiyo. Great thinking!!!! Hebu jiulize swali ikiwa unauzoefu kwa nini wanataka ufanye mitihani??? Na je ikiwa kama una uzoefu wa miaka mingi sana kisha ukapewa mtihani na ukafeli inakuwaje hapo???? Jioni njema kama una swali zaidi ni-PM. |
37(2) Subject to paragraph (4) the Commissioner shall assess applications made under paragraph (1) of this regulation and, if satisfied that the person is of good character and has sufficient knowledge and experience with respect to matters arising under the Act, mayapprove and register the person as Tax Consultant for the purposes of this act and issue the person with a certificate to that effect.
Mkuu Malyenge asante kwa kutuwekea nukuu ya sheria husika. Je hiyo regulation 37(2) ina maana gani?
Btw, unaweza kutuwekea application form pia inayotumika kuomba kusajiliwa kama tax consultant?
Aidha, nakubaliana na wewe kuwa si lazima kuajiriwa au kufanya kazi chini ya mzoefu ili kupata uzoefu. Lakini naamini hiyo ni njia rahisi zaidi hasa kwa kazi za kitaaluma kama hiyo ya tax consultant (otherwise you end up trying to "re-invent the wheel").
Mkuu Malyenge asante kwa kutuwekea nukuu ya sheria husika. Je hiyo regulation 37(2) ina maana gani?
Btw, unaweza kutuwekea application form pia inayotumika kuomba kusajiliwa kama tax consultant?
Aidha, nakubaliana na wewe kuwa si lazima kuajiriwa au kufanya kazi chini ya mzoefu ili kupata uzoefu. Lakini naamini hiyo ni njia rahisi zaidi hasa kwa kazi za kitaaluma kama hiyo ya tax consultant (otherwise you end up trying to "re-invent the wheel").
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili nachukua accounting and finance, nawza sana kuhusu ajira baada ya kumaliza chuo mwakani, ningependa mnisaidie kunijulisha hivi siku hizi mtu ukiwa na cpa bado inasaidia au ni useless maana nataka nikishamaliza masomo yangu nikachukue na cpa lakini nasikia watu wanaziponda hadi naanza kua na wasiwasi kwamba ni bure tu siku hizi, naomba majibu wadau
Kweli vijana kazi ipo! Kuna kazi bila kuwa CPA Holder huwezi kufanya kisheria,Kama wewe ni mhasibu na ndoto zako ni kuwa mhasibu na si karani wa uhasibu CPA/ACCA/ACA haikwepeki!