Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

Waulize Italy kilichotokea,pamoja na sanamu ya bikira Maria kuzungushwa mipaka ya Italy walikiona cha moto,JPM hii ni sayansi huo sio mkakati

Sent using Jamii Forums mobile app

Nakukumbuka cutelove jinsi topic yako ya lockdown watu walivyojifanya wajuaji,,wale wote waliokua against kwa kushupaza shingo ooh tutakula nini sijui wako wapi? NYIE WOTE MLIOKATAA MEASURES ZA KUSAMBAA KWA HUU UGONGWA EITHER PARTIALLY AMA FULL LOCKDOWN,MJITOKEZA MUWAOMBE RADHI WATANZANIA,MAANA MLIMDANGANYA RAIS WETU,RAIS WETU ALIPUMBAZWA NA UJUAJI WENU..
 
We cannot be christians mote than the Roman

Sent using Jamii Forums mobile app
Si lazima sana kusali kwa kukusanyika. Kama tunajua saa ya ibada ni saa moja,basi kila mtu akianza kusali kwa msingi wa dini/imani yake popote alipo Mungu anamsikia.

NB: waweza kuwa unasali na Mungu asitimize lile unaloomba..jiulize kwa nini? jichunguze pia unakosea wapi!
 
Walioanzisha dini wamefunga nyumba za ibada, wanaendesha ibada kwa live streaming, wanafuata maelekezo ya watalaam na sio maombi.

Hapa maombi hayana maana. Tufuate ushauri wa wataalam na sio maombi.

Rais anategemea Tanzania tutakua na maombi special sana ambayo watu au mataifa mengine walikosa hadi kupata corona? Mbona sstiglers au sgr hatuambiwi tuombe ijijenge?
Aiseee. Nimekumbuka Hadithi ya Mbayuwayu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameishindwa wakristo (Italia) na waislam (Iraq) tutaiweza sisi wananzengo?
TUFUATE USHAURI WA WATAALAM WA AFYA.
 
Yaan Mungu aache kuwasaidia na kuwaepushia hili janga watu wenye akili dunia ya kwanza uko aje atuepushie sisi seriously..???

Hatuna mchango wowote katika dunia hii zaidi ya kua mizigo tu, tunapenda vitonga kweliii, watu wanaumiza vichwa uko kutafuta chanjo sisi tunabwabwaja tu na wasomi wetu uchwara. Watu weusi sisi kweli tulilaaniwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais John magufuli wa Tanzania amewataka watanzania watumie siku za ibada za ijumaa, jmosi na Jpili kuiombea nchi iepukane na corona

Source,EATV update
My take :hofu inaua hivyo kila moja ajaribu kufanya anachoweza

Mkuu ni vyema akajua nchi haina dini. Watu wana dini zao ambazo wala si muhimu kufahamisha wengine kuhusu dini hizo.

Tafadhalini jamani kila anayeomba, aombe kwa wakati wake bila ya kuhusisha wengine.

Kama taifa muda wowote unaopita bila hatua za kisayansi, si siri kuwa tutakuja kuujutia mno. Tumekalia bomu na bado tunalichezea:

Why President Magufuli Should Announce Nationwide Lockdown Immediately
 
Back
Top Bottom