Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Wamama & wadada wa JF habari zenu, haitakiwi kutoa siri za wanaume wenzangu,
ila lazima niwaambie, muwe MAKINI KWA WAUME ZENU UKIJIFUNGUA HADI MIEZI 6
HIVI wakati unaendelea kulea, mumeo/ BF wako wengi lazima alambe nje na sababu ni
1. Mama atakuwa busy na kulea na pia hawezi kufanya tendo la ndoa, at least 6 months
2. Kuna hali ya kumwona mama hapendezi kwa kuwa yupo na mtoto, mara kuna harufu
/ shombo la mtoto mara kakojoa etc hupunguza ashki ya ku do, pia wanawake
wengine wana divert attention na kujisahau kumtumikia mume na kuwa busy na
mtoto hata kama anaweza ku do muda ukifika say 6 months, hili b careful
watch out
ila lazima niwaambie, muwe MAKINI KWA WAUME ZENU UKIJIFUNGUA HADI MIEZI 6
HIVI wakati unaendelea kulea, mumeo/ BF wako wengi lazima alambe nje na sababu ni
1. Mama atakuwa busy na kulea na pia hawezi kufanya tendo la ndoa, at least 6 months
2. Kuna hali ya kumwona mama hapendezi kwa kuwa yupo na mtoto, mara kuna harufu
/ shombo la mtoto mara kakojoa etc hupunguza ashki ya ku do, pia wanawake
wengine wana divert attention na kujisahau kumtumikia mume na kuwa busy na
mtoto hata kama anaweza ku do muda ukifika say 6 months, hili b careful
watch out