MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Haya sasa endeleeni Kudanganywa na huyo Kiongozi wa TFF ( ambaye namjua ni mwana Simba SC lia lia ) kuwa Yanga SC nao watashiriki Michuano ya Africa Super Cup kwa Msimu huu wa Kwanza.
Taarifa ikufikie popote Wewe Zuzu uliyedanganywa na Kauli ya huyo Kiongozi kuwa CAF wameshaamua ( wamesema ) kwa Msimu huu wa Kwanza wa Mashindano haya mapya ni Timu Bora Nane ( 8 ) tu za Afrika Tanzania ikiwakilishwa na Simba SC ndiyo zitashiriki ila kwa Msimu ujao ( wa Pili ) ndipo watakuwa na Timu hizo Ishirini ( 20 ) ambazo huyo Kiongozi Mnafiki ( na mwana Simba SC lia lia ) aliwadanganya na mkamuamini aliwaokoteni ( aliwadanganyeni ) Mazuzu wengi mlioadhibiwa Juzi na Inonga na Denis na Kumuamini.
Kuna Watu ni Wapuuzi na Wehu hadi Kero yaani unademadema mpaka leo kucheza Michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufika Robo Fainali na unahangaika huko Shirikisho ulikokuzoea huku Juzi tu ukiwa umepigiwa Mpira mkubwa na Mbabe Mmoja wa Afrika na Kufungwa Goli / Bao Mbili na Kukoswakoswa Bao / Goli za wazi kama Tano ( 5 ) halafu unataka nawe ujumuishwe Kiuhuruma na Kiupendelea katika Michuano hii mipya ya Africa Super Cup.
Bure kabisa.......!!!!!!!
Taarifa ikufikie popote Wewe Zuzu uliyedanganywa na Kauli ya huyo Kiongozi kuwa CAF wameshaamua ( wamesema ) kwa Msimu huu wa Kwanza wa Mashindano haya mapya ni Timu Bora Nane ( 8 ) tu za Afrika Tanzania ikiwakilishwa na Simba SC ndiyo zitashiriki ila kwa Msimu ujao ( wa Pili ) ndipo watakuwa na Timu hizo Ishirini ( 20 ) ambazo huyo Kiongozi Mnafiki ( na mwana Simba SC lia lia ) aliwadanganya na mkamuamini aliwaokoteni ( aliwadanganyeni ) Mazuzu wengi mlioadhibiwa Juzi na Inonga na Denis na Kumuamini.
Kuna Watu ni Wapuuzi na Wehu hadi Kero yaani unademadema mpaka leo kucheza Michuano ya Klabu Bingwa Afrika na kufika Robo Fainali na unahangaika huko Shirikisho ulikokuzoea huku Juzi tu ukiwa umepigiwa Mpira mkubwa na Mbabe Mmoja wa Afrika na Kufungwa Goli / Bao Mbili na Kukoswakoswa Bao / Goli za wazi kama Tano ( 5 ) halafu unataka nawe ujumuishwe Kiuhuruma na Kiupendelea katika Michuano hii mipya ya Africa Super Cup.
Bure kabisa.......!!!!!!!