Julius Mtatiro
Member
- Jun 20, 2009
- 45
- 225
Mtazamo wako siyo mbaya umejitahidi
Lakini walioko serikalini hawaiogopi chadema kama CUF ni marafiki wakubwa e.g. marando, sabodo, EL vs Mbowe, Zitto vs. JK list can go on
Director na wadau, naomba muendelee kunivumilia, nilipata muda na kujibu hoja chache tu nikarudi vikaoni. Naomba mnipe muda nikitoka tena kikaoni nitajibu baadhi ya hoja.
Leo kikao kitaisha mapema.