Kikubwa kinachomuua zaidi CUF kuna udini maana kila mwana cuf makini lazima awe muislam hiyo haina ubishi. kila mwenye macho anaona kuwa hicho chama hakina sura ya kukomboa nchi ila kipo kwa ajili ya masilahi ya waislam sana.
Sawa na kila mwanachama makini wa chadema lazima awe amesoma semenari na ni mkiristo ...sifa zenu zinafanana