Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
Serikali ni nani? Huyu serikali ni mdudu gani? Ana damu ya rangi gani?
Serikali ni lidude lililoko juu ya vichwa vyetu.
Serikali ni nani? Huyu serikali ni mdudu gani? Ana damu ya rangi gani?
Meanwhile how do you
say that in English...LOL!!!!!
Tatizo lingine huko Bara, watu wanakumbuka maeneo kama hayo wakati wa sikukuu tu! Ilhali Zenj kila siku zipo busy na sikukuu ndio kabisa! Mbaya zaidi inatia aibu kwa Jiji hilo kuwa na kabeach kamoja tu kanakovuta watu!Wewe bwana,....khaaaa.Lazima ututwangie za kizalendo tu.
Haya basi Zenji mwisho na tutaiga.Meanwhile how do you
say that in English...LOL!!!!!
Tatizo lingine huko Bara, watu wanakumbuka maeneo kama hayo wakati wa sikukuu tu! Ilhali Zenj kila siku zipo busy na sikukuu ndio kabisa! Mbaya zaidi inatia aibu kwa Jiji hilo kuwa na kabeach kamoja tu kanakovuta watu!
Say that in English....
Hao jamaa inakuwa kama wamekaa wanapunga upepo pembeni ya bonge la dimbwi flani la maji! Halafu cheki jamaa walivyochoka...yaani choka mbaya sana. Halafu beach gani hii yenye vichaka...angalia hiyo picha ya kwanza hapo juu juu kwenye picha...hiyo ni miti au vichaka?
Halafu mbona msongamano wa watu ni mkubwa hivyo? Au ni mimi tu macho yangu?
Nadhani mjadala hapa ni namna gani Beach zetu zingeweza kufanywa bora zaidi kwa watu kupumzika na kupunga upepo kuliko kuchoka kwa wanaopunga upepo beach. Nadhani tunawakosea haki watu kuwaambia wamechoka katika hoja hii, kwani kutengeneza beach bora hakutaondoa uchovu wa hawa jamaa, let's not mix the two scenarios.
hali hii huwa inajirudia wakati wa siku kuu zozote kubwa za kidini. Picha hizi ni kutoka kwa Mroki za siku ya ya Pasaka iliyopita. Wakati wa Dar ambao wamezoea kinyaa wanaendelea kuwachagua watu wale wale ambao wameshindwa kutafuta suluhisho la ukosefu wa maeneo ya kupumzika lakini maeneo ya mahoteli ya kitalii yanapatikana kwa urahisi!
Nimechambua hili katika makala yangu mojawapo ya kesho nadhani iko Tanzania Daima au MwanaHalisi.
ionyesheni serikali mfano sio kuandika makala ndeeeeeeeeeeefu JF na kwenye magazeti...tunataka vitendo...ebo
wewe mwanakajiji tumeshachoka na makala zako tunataka vitendo......
kuchosha wananchi na maandishi mareeeeefu magazetini?????ninachofanya mimi wewe hata kukiwaza huwezi! huna mpango!
Kwa maneno mengine huu ni wakati muafaka kwa wananchi kusimama kidete na kujipangia maendeleo wanayoyataka badala ya kusubiri kupangiwa na serikali, ni wakati muafaka kwa wananchi kuondoa kero zao wao wenyewe badala ya kusubiri kero hizo zipate kiupambele toka serikalini.Mzee Mwanakijiji,
Tusiishie kulalamika tu, tuwe mbele kuchukua hatua na kuonyesha mifano kwa kufanya kweli yale ambayo CCM na serikali yao wanashindwa kufanya. Maeneo ya wazi yanachukuliwa, lakini wasomi, wanasheria wanashindwa hata kwenda mahakamani na kupinga vitu simple kama hivyo. Sisi wengine tunashindwa kuchangia hata harakati kama hizo. Baadaye sisi wenyewe tutakuwa viongozi na kuendeleza ujinga huo huo.
swadakta.......Kwa maneno mengine huu ni wakati muafaka kwa wananchi kusimama kidete na kujipangia maendeleo wanayoyataka badala ya kusubiri kupangiwa na serikali, ni wakati muafaka kwa wananchi kuondoa kero zao wao wenyewe badala ya kiupambelekusubiri kero hizo zipate toka serikalini.
Kwa maneno machache ili kuweza kuwa na mambo endelevu katika jamii yetu, hakuna budi kwa wanajamii hao kushiriki moja kwa moja katika mipango na utekelezaji wake badala ya kusubiri kupangiwa na kutekelezewa na serikali.
wewe umefanya nini kuiboresha?Beach imechooooka, hivi wanafanya hata beachcombing hapo?
Watampa muhindi afungue kitu hapo halafu itakuwa ni MEMBERS ONLY
kuchosha wananchi na maandishi mareeeeefu magazetini?????
.....watu wa majuu tumeshachoka na porojo zenu......
wewe umefanya nini kuiboresha?