ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Eti ile rambirambi ya Hayati Patrick Mutesa Mafisango imeishia wapi?.....
Na vipi kuhusu Simba TV na uwanja wa kituruki?..........
Rage bana....................
mmmmhhhh ya tv sichangii maana hata yetu naona kama haijastebo zaidi bora sie tumekuja kwa gia ya kuomba ushauri nini kifanyike sasa hao wazee wa quality plaza uzinduzi..