lakini mwita mbona unakuaga ivyo jamani ww mwana yan ww macoments yako siku zote yanafanana na macho yako! Ebu badilika bana !!!
kwa mara ya kwanza leo mwita umeongea kistaarabu ! ningekua na commplimentaly nimgekugaia mtoto ww! waweza kuja kutakua na viingilio kwa wasiokua members naamini haizidi 30,000/= vyakula vinjywaji its free na itakua muda mzuri wa ww kujiregist na kujua meengi yahusuyo CLUB E! KARIBU MWITA 25!Siyo hivyo! Unajua mimi huwa napenda sana kuwa member wa hiyo Club lakini sifahamu utaratibu wa kujiunga. Nasikia kuwa kama siyo member unakuwa hauko eligible for their events.
kwa mara ya kwanza leo mwita umeongea kistaarabu ! ningekua na commplimentaly nimgekugaia mtoto ww! waweza kuja kutakua na viingilio kwa wasiokua members naamini haizidi 30,000/= vyakula vinjywaji its free na itakua muda mzuri wa ww kujiregist na kujua meengi yahusuyo CLUB E! KARIBU MWITA 25!
FB,
Unamiliki hisa ngapi huko?...Au ulifaulu ile intavyuu ya PRO waliyotangaza?
Kweli bana!PJ tukutane Geneva CLUB
Kweli bana!
Wenzetu wanatambishiana hiyo sijui nini club, eti sijui Milimani gani sijui!!!
Ningoje Sundown pale, tukitoka hapo muda utakuwa unaruhusu!
Kweli bana!
Wenzetu wanatambishiana hiyo sijui nini club, eti sijui Milimani gani sijui!!!
Ningoje Sundown pale, tukitoka hapo muda utakuwa unaruhusu!
sURE MWAYA!umeona......leo tunaomba umemba kabisa mwambie na preta itasaidia kuendelea kumkipu bize
BLAKI WOMAN geneva club iko tegeta mwisho PJ anakaa kisarawe wapi na wapi!