Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,162
Mombasa? Vaseline inahu!
Nipo Mombasa, nitahudhuria kama watakuja Dodoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo Mombasa, nitahudhuria kama watakuja Dodoma.
Hahahahaha!!! Mkwe naona umeanza kupasha kabisa...lol
Aisee huyo mkoloni wako muongeze na hizi lazima atanywea kabisa naye mzuka umpandeTF mzuka ushapanda......... mkoloni anaweza nipa adhabu ya kutoka kesho nikakosa kusebeneka jioni
nisaidie kuimuvuzisha kwenye jukwaa husika MOD FIDEL80 plz
MKwe hebu ongeza haya mazoezi kabisa najua hapa Preta na Blaki Womani hawatakukamataYaani mkwe unaweza jikuta unakamata masebene na wakwe plus wajukuu ha ha raha jipe mwenyewe ...
usafiri upo hakuna majotro ukitaka raha kubali karaha.......mwenyewe naishi bang'ata club ipo namanga
kale kakitufe ka like sikaoni ! Ulikastahili mkuu!! One love
:biggrin: Kongosho umeniacha hoi ...dah ..Feis buku au Fidel watakupa mpango kamiliJamani Mlimani City ndo wapi?
Na Fally Ipupa ni yupi?
Naombeni nije.
jamani fidel lini utanielewa? Leo nis pecial day kwa club e njoo nikupe complimentary basi! Huko kwa makaka poa dawa yao madada poatwende zetu travel tine leo kuna zilipendwa taarab wakongwe wote watakuwepo sina kampani unajua pale makaka poa kibao nahitaji msaidizi p'se
TF mzuka ushapanda......... mkoloni anaweza nipa adhabu ya kutoka kesho nikakosa kusebeneka jioni
Mkwe hii mambo ya bana kongoo siku mashetani yangu yakipanda nafukunyua library naanza kucheki na kusikiliza haba ba mutu banapiga sebene acha hapo sijamuweka Koffi Olomide mzee mzima naye huwa anasebene la hatariMkwe TF hivi inakuwaje nambie hii mambo ya bana ba kongo ndo mambo yako...
....Dah i salute you!
Wekundu watatu wewe huyo unachoma ndani chakula na vinywaji vimejumuishwa kwenye hao wekundu watatukwani kiingilio bei gani? mi napenda sehemu yenye fujo fujo. baadae nipo pale ambiance lakini kama vipi ntapanda hapo mlimani kuangalia kuna nini. pamoja sana. mia
Mkuu cheki hapo kwenye ukumbi Mlimani City nafikiri watakuwa wameishaanza kufanya sound test na mic check one..two.. hauoni bendera za Club E zinapepea hapo nje..Aisee hiyo club E ndio utamu gani tena? yani niko walking distance lakini siijui... hebu fungukeni haraka bana
unastahiki kiripotiwa abuse kwa kutokuyafahamu hayo kongosho!! Unaonekana wa mjini!! Kweli jf kumejaa ufekifeki