sbilingi
Senior Member
- Nov 16, 2010
- 144
- 2
clouds have lost it kwenye kipindi cha kibonde... they thinks its funny, but its not
Kibaya zaidi regina mwalekwa ameenda kujichimbia kaburi tu pale, her name and fame are sinking fast like a fishing boat
there is a need to tune to other stations like i do brothers and sisters
wewe acha upupu, unadhani regina mwelekwa ni mwehu wa kukubali kulipwa 150000 wakati kazi anazofanya zinaingiza mara kumi ya hiyo kwa mwezi, kwa taarifa yako professional ya mtu haifi kihivyo. na radio one wameondoka wengi na waliobaki wote ni form four leaver waliopata mafunzo ya blabla, wewe kama hupendi kipindi cha Jahazi, mimi napenda kwa hiyo kuniambia hakipendwi hiyo ni promo kwa radio yako