nataman ningekuwa na namba ya lusinde jaman ningemwambia chek jf afu aje atukaneeeee wote umu ndani...dah lakin yule mding ajabu kweli anatukana km kanywa mkojo wa...
Nimesikia asubuhi hii Clouds FM wakirudia sehemu ya hotuba ya matusi ya Lusinde redioni huku watangazaji wakishangilia. Jee hii inamaanisha nini katika jamii? Maadili ya utangazaji yanasemaje kuhusu kitendo kama hiki?
Lakini mbona huyu mheshimiwa alikuwa Member - National Executive Board wa Chadema ina maana mlipompa hiyo nafasi hamkujua kama ana matatizo myasemayo?
Mwenye hi clip aiweke tuione na sasa jama.
Lakini mbona huyu mheshimiwa alikuwa Member - National Executive Board wa Chadema ina maana mlipompa hiyo nafasi hamkujua kama ana matatizo myasemayo?
Kushangilia matusi kwa wale watangazaji kunamaanisha nini?
Acha UDINI,Lakini mbona huyu mheshimiwa alikuwa Member - National Executive Board wa Chadema ina maana mlipompa hiyo nafasi hamkujua kama ana matatizo myasemayo?
Daa ulikuwa wapi Rose jamani wakati tunashangilia jana. hujaonekana siku nyingi humu ndanisi kama walikuwa wanashangilia...walikuwa wanamsanifu/wanashangaa/hawakupendezwa na mbunge kutukana....ukiwachekju ju utasema walkuwa wanashangilia bt not.....
dah mbaba anatukana yule hatar...
Nimesikia asubuhi hii Clouds FM wakirudia sehemu ya hotuba ya matusi ya Lusinde redioni huku watangazaji wakishangilia. Jee hii inamaanisha nini katika jamii? Maadili ya utangazaji yanasemaje kuhusu kitendo kama hiki?
Lakini mbona huyu mheshimiwa alikuwa Member - National Executive Board wa Chadema ina maana mlipompa hiyo nafasi hamkujua kama ana matatizo myasemayo?
nipo baba....nilikuwanapata mitus ya lusindeDaa ulikuwa wapi Rose jamani wakati tunashangilia jana. hujaonekana siku nyingi humu ndani