Waache washangilie habari wataipata hivi karibuni kwani tumeshaanza taratibu za kumshughulikia.Nimesikia asubuhi hii Clouds FM wakirudia sehemu ya hotuba ya matusi ya Lusinde redioni huku watangazaji wakishangilia. Jee hii inamaanisha nini katika jamii? Maadili ya utangazaji yanasemaje kuhusu kitendo kama hiki?
Kushangilia matusi kwa wale watangazaji kunamaanisha nini?
Mkuu ukisearch kwenye youtube utaipata haraka zaidi,bofya hapa Matusi ya LusindeMwenye hi clip aiweke tuione na sasa jama.