hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
the great kwame nkrumah in his many writings alishatuambia, `it is the depth of origin that defines a person' sio urefu wake ama umri aliokaa darasani. This guy is simply very very very cheap and so is his family, kinachonishangaza ni jinsi viongozi wa serikali watu niliofikiri kwamba ni mahiri wa taratibu za serikali kama pinda kujazana huko na wakina mwana falsafa wakina mrisho mpoto, very cheap leadership yaani waliona jinsi pekee ya kuwa karibu na clouds ni kufanyiwa party na hiyo mizee mingine kwenda hata kuvaa for the occassion hawajui, kwani wangeendelea na shughuli zao na kumtakia heri ofisini kwake siku hiyo hiyo ama kesho yake wangepungukiwa nini? Hizi ndio standards wanazotaka watanzania wazikumbatie mimi ningeheshimu kama wangemuacha juha kalulu afanye anavyotaka siku hiyo na ku spend personal time hata kama amengeamua kujianika darini, hawa wote waliohudhuria hawafai kkuwa viongozi, mbona wakati wa mwalimu sikuona mzee morris nyunyuso akifanya birthday ya rais, halafu huyu jk anayewasifia clouds leo mpaka anataka kutoka roho, anawaweka wapi ipp waliombeba miaka yote wakiwa na full machinery ya kufanya hivyo? Hawa wajinga wamefanya nini cha zaidi ama sawa na itv, sasa mengi aache kujikomba amtose abebwe na hao clouds,
muda si mrefu tutasikia singo yake hewani