Clouds Media wamwandalia Kikwete Birthday 2010?

Ongera sana!Nakutakia mapumuziko mema katika maisha baada ya kustaafu 31 oct 2010,mengi umeifanyia hii nchi,kapumzike baba!
 
huyu raisi ni msanii? mbona wasanii tupu wamejaa, hivi singo zake ni
1.sijui nchi kwa nini ni maskini
2.nalindwa na majin
3.kiherehere
 
Kuna article moja iliwahi kuchapishwa na gazeti moja la Kenya, silikumbuki vizuri . Ni aidha The Standards ama The Nation ikiwa na headline isemayo ' In Bed With a State'. Commentary ile nikiwemo mimi iliniudhi sana jinsi ilivyonesha namna media za Bongo zinavyo-support na kuwabeba watawala wetu walioshindwa kuongoza nchi. Lakini baadaye baada ya kutafakari nilikuja kutambua kuwa the writter was very correct. See at what is happening today with a section of Tanzanian media. Habari Corporation, TSN, Uhuru Publications and now Clouds. We still have a long way to go ndugu zangu.

Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
 
unajua uchaguzi unavibweka kweli kweli eti clouds ndiyo ya kumwandalia mheshimiwa rais kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake na kwanini isiwe Tbc ili watanzani wote waone sherehe ya rais wao kuna nini kati ya hawa clouds na mheshimiwa inamaana hata wakina salva kule ikulu wameshindwa kumwandalia mh kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake mbona wanamfanya rais wa watanzania kuwa cheaper kiasi hicho kesho kutwa nayo times itataka kumwandalia ehee!!! ningekuwa mimi ndo mheshimiwa kwa kweli nisingekwenda kwani hadhi ya rais na kijiredio hicho havifanani halafu kivipi clouds na ikulu tbc angalau itasound kidogo. hii mwaionaje wajameni kama mi niliangalia taarifa kwenye habari ya tbc tv, vi wana jf??
 
unajua uchaguzi unavibweka kweli kweli eti clouds ndiyo ya kumwandalia mheshimiwa rais kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake na kwanini isiwe Tbc ili watanzani wote waone sherehe ya rais wao kuna nini kati ya hawa clouds na mheshimiwa inamaana hata wakina salva kule ikulu wameshindwa kumwandalia mh kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake mbona wanamfanya rais wa watanzania kuwa cheaper kiasi hicho kesho kutwa nayo times itataka kumwandalia ehee!!! ningekuwa mimi ndo mheshimiwa kwa kweli nisingekwenda kwani hadhi ya rais na kijiredio hicho havifanani halafu kivipi clouds na ikulu tbc angalau itasound kidogo. hii mwaionaje wajameni kama mi niliangalia taarifa kwenye habari ya tbc tv, vi wana jf??

si vibaya kumwandalia MSELA mwezako b-day
 
unajua uchaguzi unavibweka kweli kweli eti clouds ndiyo ya kumwandalia mheshimiwa rais kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake na kwanini isiwe Tbc ili watanzani wote waone sherehe ya rais wao kuna nini kati ya hawa clouds na mheshimiwa inamaana hata wakina salva kule ikulu wameshindwa kumwandalia mh kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake mbona wanamfanya rais wa watanzania kuwa cheaper kiasi hicho kesho kutwa nayo times itataka kumwandalia ehee!!! ningekuwa mimi ndo mheshimiwa kwa kweli nisingekwenda kwani hadhi ya rais na kijiredio hicho havifanani halafu kivipi clouds na ikulu tbc angalau itasound kidogo. hii mwaionaje wajameni kama mi niliangalia taarifa kwenye habari ya tbc tv, vi wana jf??

"..oya si unajuwa tena yule ni mwana..au sio kwa hiyo tukaona kama vipi nini isiwe kesi.....tukaamua kumpa shavu ajimix na machizi wa kitaa kwa kitaa..."
 
Wala sishangai ndo zao hizo. washaamua kufumba macho na kumtetea, huwezi jua labda wameahidiwa viti maalum au ubunge wa kuteuliwa!
 
unajua uchaguzi unavibweka kweli kweli eti clouds ndiyo ya kumwandalia mheshimiwa rais kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake na kwanini isiwe Tbc ili watanzani wote waone sherehe ya rais wao kuna nini kati ya hawa clouds na mheshimiwa inamaana hata wakina salva kule ikulu wameshindwa kumwandalia mh kikwete sherehe ya kuzaliwa kwake mbona wanamfanya rais wa watanzania kuwa cheaper kiasi hicho kesho kutwa nayo times itataka kumwandalia ehee!!! ningekuwa mimi ndo mheshimiwa kwa kweli nisingekwenda kwani hadhi ya rais na kijiredio hicho havifanani halafu kivipi clouds na ikulu tbc angalau itasound kidogo. hii mwaionaje wajameni kama mi niliangalia taarifa kwenye habari ya tbc tv, vi wana jf??
mnajua rais wetu alivyo bias wa kuokotwa. pia nimesikia akiwasifia clouds kuwa wanainua vipaji vya wasanii. Ina maana residaa hayupo briefed vizuri na wasaidizi wake? mijambazi anaisifia lakini no wonder alimsifia EL, Mramba, Chenge na wengineo. he is a gonner. wacha afaidi vya mwisho mwisho ikulu.
hivi clouds walifanya booking ikulu kumwandalia residaa sherehe? protokali zasemaje kuhusu hili? na mie nina harusi ya binti yangu naweza kukodisha viwanja vya wama?

"..oya si unajuwa tena yule ni mwana..au sio kwa hiyo tukaona kama vipi nini isiwe kesi.....tukaamua kumpa shavu ajimix na machizi wa kitaa kwa kitaa..."
hehehe anguka mistari wangu. aminia
 
The great Kwame Nkrumah in his many writings alishatuambia, `it is the depth of origin that defines a person' sio urefu wake ama umri aliokaa darasani. This guy is simply very very very cheap and so is his family, kinachonishangaza ni jinsi viongozi wa serikali watu niliofikiri kwamba ni mahiri wa taratibu za serikali kama Pinda kujazana huko na wakina mwana falsafa wakina mrisho mpoto, very cheap leadership yaani waliona jinsi pekee ya kuwa karibu na clouds ni kufanyiwa party na hiyo mizee mingine kwenda hata kuvaa for the occassion hawajui, kwani wangeendelea na shughuli zao na kumtakia heri ofisini kwake siku hiyo hiyo ama kesho yake wangepungukiwa nini? hizi ndio standards wanazotaka watanzania wazikumbatie mimi ningeheshimu kama wangemuacha juha kalulu afanye anavyotaka siku hiyo na ku spend personal time hata kama amengeamua kujianika darini, hawa wote waliohudhuria hawafai kkuwa viongozi, mbona wakati wa mwalimu sikuona mzee morris nyunyuso akifanya birthday ya rais, halafu huyu JK anayewasifia clouds leo mpaka anataka kutoka roho, anawaweka wapi IPP waliombeba miaka yote wakiwa na full machinery ya kufanya hivyo? hawa wajinga wamefanya nini cha zaidi ama sawa na ITV, sasa mengi aache kujikomba amtose abebwe na hao clouds,
 
Back
Top Bottom