Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,498
mkirua una lako jambo, hapo ishu sio kuisikiliza ishu ni kuijadili humu kila uchao
yapo ya msingi zaidi kuzungumzia na sio kujadili clouds hapa.
mtoa mada bora uende ktk webpage yao andika hizo mada zako utaelezwa kwa nini wadosi wanaitumia clouds
Lokissa sina jambo lolote bali ninachokiona humu kila kukicha kuna ama Clouds au Kibonde...then kuna comment kuwa ni Radio ya wafu..Kama umefuatilia mijadala mingi inayohusu clouds kuna pia wito kuwa wana JF tusisikilize hiyo Radio na niliwahi kuuliza mara kibao what is wrong btn Clouds na Some of JF members?? Hapo sasa hakuna wa kutoa jibu....
Conclusion yangu ni kuwa tunapretend kuwa hatuitaki wala hatuisikilizi kumbe ni our favorite station!! Kama ni kweli hatuisikilizi mada kila siku za nini humu?? Ni wazi kuwa hatuwezi kujuwa kinachosemwa na clauds kama hatuwasikilizi.....