Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
WaJF,
Poleni kwa sinema zinazoendelea, naombeni kujulishwa labda kutoelewa kwangu.
Eti viongozi wa nchi hii kuzungumzia matatizo ya wananchi kupitia CLOUDS ni sahihi?
Kwanini sio TBC/RADIO UHURU ambazo ni za serikali na zenye kundeshwa kwa kodi zetu??
au kuna posho au hisa huko Clouds!
Jamani naombeni maoni yenu.
Poleni kwa sinema zinazoendelea, naombeni kujulishwa labda kutoelewa kwangu.
Eti viongozi wa nchi hii kuzungumzia matatizo ya wananchi kupitia CLOUDS ni sahihi?
Kwanini sio TBC/RADIO UHURU ambazo ni za serikali na zenye kundeshwa kwa kodi zetu??
au kuna posho au hisa huko Clouds!
Jamani naombeni maoni yenu.