Clouds: Acheni kufagilia upuuzi - wewe Diva - Loveness Love unajiaibisha....

Mie nimeacha kutazama TV and kusikiliza radio kwa sababu ni meona is just waste of time big time... I am either on the net or I am reading books...

Hebu acheni kuwasikilza upuuzi wao muone watafika wapi...
 
Mh kwa kweli huyu mtangazaji hajaanza leo kuzungumza ujinga wake mie imenipelekea kufunga miredio mara baada ya taarifa ya habari ya saa mbili. Ah Lakini ina maana clouds hawana maadili? yaani wao wanaona sawa? Uongozi wa Clouds nao una makosa ina maana siku zooooo te hizo huyu binti anatangaza ujinga hawakuwa wakisikia?? Nidhamu ya mfanyakazi haiishii katika kuwahi na kutokukacha ofisi bali hata namna anavyovaa, anavyojibeba na hata lugha na content ya akitangazacho----------------- Ama kweli miafrika ,.....
Shosti...bora wewe ulishamsikia na kuchukua hatua... mimi i was taken unawares... nilijikuta nasikiliza by default... Loh! and Behold... sikuamini ninachokisia ..... ndio nikaona nililete hili shauri kwa mahakama ya watu JF... waamue..
Verdict itakuja tu.... bado mashahidi wanatoa maelezo....
 
Kusaga kaajiri makanjanja.. ubunifu F!!! serikali ikiingilia kati.. eti uhuru wa vyombo nya habari unavamiwa...!!!kama uhuru wenyewe ndo upuuzi huu basi familia zetu zishawekwa rehani! mtoto miaka 3 keshajua kila kitu cha sita kwa sita!
 
Kweli hiyo/ hizo mamlaka hazina kazi....
Au labda sexual content hazikatazwi wakati wa prime time....who knows....
 
Kweli hiyo/ hizo mamlaka hazina kazi....
Au labda sexual content hazikatazwi wakati wa prime time....who knows....

sweetheart, mangapi yanakatazwa na yanafanywa na waliyoyakataza wanayasikia??

Tanzania zaidi ya uijuavyo.....shauri yako!!!
 
Kweli hiyo/ hizo mamlaka hazina kazi....
Au labda sexual content hazikatazwi wakati wa prime time....who knows....

NN ur guess is right!
Nimewasiliana na taasisi husika na kubaini kuwa kumbe Kanuni/sheria/taratibu chini ya Tume ya mawasiliano hazikatazi content ya kikubwa baada ya saa 3 usiku!

Nimechokaaaa!
Ila mwenye kuwa na concern anaweza kupeleka malalamiko.
 
NN ur guess is right!
Nimewasiliana na taasisi husika na kubaini kuwa kumbe Kanuni/sheria/taratibu chini ya Tume ya mawasiliano hazikatazi content ya kikubwa baada ya saa 3 usiku!

Nimechokaaaa!
Ila mwenye kuwa na concern anaweza kupeleka malalamiko.

Dah....No wonder kuna upuuzi huu...Inasikitisha sana jamani
 
Wazazi wa Tanzania yawezekana hawajuli la kufanya; wamekubali kuridhika huku wanalalamika pembeni.

Wakati Janet Jackson amepata ile "Wardrobe malfunction" simu kwenda FCC zilijaa na matokeo yake CBS wakapigwa faini ya dola laki moja kwa tukio lilichukua less than few seconds!

Hata mtu akitumia neno lf F...K hawachelewi kulalamika. Wakati mwingine wanalalamika huku wamekaa online wanaangalia porn! Lakini alimradi linpokuja suala la malezi ya watoto wao hawataki kabisa serikali kuwa kimya au butu.
 
kaka serikali huwa haiingilii hata ukitukana, sasa wewe gusa kwenye mambo ya mshikaji ambaye hapa-form hapo juu mkuu wa inji utawaona leo leo.
 
lakini watunga sheria na wasimamizi ndo wanalala, nadhani contents za kikubwa siyo maana yake ile wanayopublish ya kuiba waume za watu au wake za watu. Ni zile ambazo zinajenga kwa wote wawili sio za kusababisha nchi yenye stress za kuachwa na waume na wake.
 
Jamani
shule shule shule muhimu nilishalalamika sana wana cluods wanaiaji kwenda shule
wana upeo mdogo sana kama uamini pata muda usikilize upuuzi wa hao madada utoamini
so ukija kumtukana huyu dada kwa uchafu wake ndenda uliza shule ya ke ya mwisho
unahisi umejitukana mwenyewe...so vyema wanaowajua wawasaidie hawa kimawazo

bomu tupu tatizo la cluods ajira ilikuwa umetembea na nani;watu wakawashauri jamani
badilishen wenye shule wakaogopa kuwalipa na ukifikiria kuwaondoa unayelala nae
akmaliza kipindi unakuta wanamsubiri pale chini;ndio maan wenye shule zao awakendana na
upuuzi wa clouds fm management love nexty job
 
Sijui anaiweka wapi sura ya baba yake (Dioniz Malinzi). Kiukweli huyo binti nilishaanza kumhisi tofauri kiitambo tu. Hana break kwa mdomo na akili. Dina nae hajaolewa ndio maana yuko huru kuropoka. Nimeshajiuzulu kusikiliza kipindi chao. Kuna radio mpya - Capital radio - 101.40. Ik bomba sana!
 
Back
Top Bottom