Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,279
Nakereka watu kujifanya sijui wanahela wakati za kubadilishia mboga....awe realistic sio kufake life..
Hilo ni tatizo lako. Kukereka kwa mambo yasiyokuhusu. Blog ni yake, unachoweza kufanya ni kuacha kuitembelea