King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,630
Habari mabibi na mabwana,ujue kila mzazi anapenda ampeleke mwanaye shule nzuri ili aweze kupata elimu bora lkn yule mtoto kile anachofanya shuleni mzazi hakijui bali mtoto anamletea matokeo ya mitihani akiwa na alama za juu kumbe yule mtoto shuleni haumizi kichwa yani anachofanya ni kuchukua ganda la ndizi analiweka chini ya mguu anakanyaka tena kwenye mlenda anatelezaaaa! Anapenda kuchukua mkono wa kushoto na kupeleka mkono wa kulia hapendi kuumiza kichwa! Karibu kwenye kipindi cha copy n' paste!
Ujue we mbayaaa wewe,yaniii mbayaaaaa,da yani unatishaaa umewezaje kupiga hizo code?
halafu bro kuna website flan hiv ya jamaa anajiita mark zuckerberg yani kama yako nadhani amekuigaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Ujue we mbayaaa wewe,yaniii mbayaaaaa,da yani unatishaaa umewezaje kupiga hizo code?
halafu bro kuna website flan hiv ya jamaa anajiita mark zuckerberg yani kama yako nadhani amekuigaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!