Cloning facebook for newgen Tanzania

hihihihhihihih we mkali.....naona hadi zukerberg amekukopy bana.....lakini wewe ndo ukikuwa wa kwanza kuitengeneza hii...yule kakukopy kama ilivyo.....kopy n past
 
Tatizo jamaa amekuwa na hasira sana. Unapoanzisha kitu inamaana umekipenda. Na maona mengi yalikuwa kuboresha. Tazama hii kisha angali hii ambayo ni ya newbie.

Hakuna yenye mafanikio kwa kuifananisha na facebook. Unaweza badili theme na muundo kimtindo ilikuipa muonekano wakipekee. Yaani nisawa na mtu anavyoitambua JF kwa muonekano mbali bila kusoma imeandikwa nn.
but all in all the matter is closed
 
Halafu kama nakumbuka SamJet ulishawahi kuja na kitu kama hiki. YES! Ilikuwa inaitwa RafikiBuzz ambayo nayo ilikuwa community site too. What happened?
Ni hii hapa: RafikiBuzz The African Number 1 Social Network

It is better-looking and sophisticated kuliko hiyo Bongobest! Although bado muonekano kidogo unafanana na Facebook.

Zingatia na security br

tmvNBc0XCRMAAAAASUVORK5CYII=
Untitled.jpg
 
HaBari wana Jf
Tumekua tukitumia mtandao wa kijamii facebook na kuuona ni wa muhimu, Ila facebook imekua na restriction na bureaucracy za kimarekani kwasababu ni made in US. Tuachane na hayo, hayatuhusu, kikubwa ni kwamba wabongotunaweza pia kuwa na chetu ambacho kina maadili na bureaucracy za kibongo.
Ndiyo maana mimi nikaamua kuanzisha BongoBest, BongoBest Community
Kama una wazo ama swali, Uliza.
Mchango wa kiufundi (php) pia unahitajika. (wasiliana, tuma pm mesej)

mkubwa njoo na kitu unique bureaucracy sio tatizo
 
Hahaha... Naona sasa imekuwa game hii mtoto6

mtotosix hayupo humu siku izi, mimi sifanyi huu uzushi, nimekumbuka tu kuwa nilikuwa script yangu ya social engine zamaani nikata muione hehehe mnipe ushauri wa php (natania) just teasing samjet
 
Last edited by a moderator:
mtotosix hayupo humu siku izi, mimi sifanyi huu uzushi, nimekumbuka tu kuwa nilikuwa script yangu ya social engine zamaani nikata muione hehehe mnipe ushauri wa php (natania) just teasing samjet

hahaha., PHP Ndo kila kitu.... Haya bana siiiisiixx (C6) @C6
 
Hebu cheki hii ( C6 mtotosix) ipi imekubali? One ishue with forums ni kuwa hata ukibadili forum name bado username ya account inabaki pale pale.... So according to JF database C6 Hayupo. Hiyo ni kuanzia VBulletin mpaka SMF
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom