Ndio kuna chuo cha takwimu mlimani mbele kule mtaa unaitwa changanyikeni..ni chuo pekee kinachotoa official statistics degree afrika ya mashariki,kati na kusini.Mkuu wa chuo ni mume wa director wa NBS...kuna wanafunzi toka ghana,Zambia, south sudan,Malawi n.k"chuo cha takwimu changanyikeni?"bukoba-boy