Mdau Makini
Member
- Sep 18, 2012
- 70
- 10
Chuo kikuu Sokoine Morogoro, Hostel ni tatizo kubwa sana.Wanafunzi waliopo ni kama mara tatu ya Hostel zilizopo, Wanachuo wanalala wawili wawili a. K.a kubebana lakini wapi....wengine wamepanga mtaani lakini waaap!
Ni bora kila chuo kuchukua wanafunzi sawa na uwezo wao wa Accomodation.
Ni bora kila chuo kuchukua wanafunzi sawa na uwezo wao wa Accomodation.