Chuo cha Mtakatifu Agostino ni majanga

SAUT ni miongoni mwa vyuo ambavyo management style yake ni customer-centred (Student-centred), wanachuo wanasikilizwa sana na Ofisi ya VC na DVCAA katika maswala yao ya kitaaluma. Ndiyo maana maktaba ya SAUT, pale inapotokea upungufu wa vitabu Management ya Maktaba chini ya Dr Safari wapo radhi hata kutoa photocopies ili wanachuo wapate nakala za kutosha. Kupunguza uhaba huo wa vitabu chuo kimeweka computers za kutosha kwenye maktaba (MGULUNDE RESOURCE CENTRE) ambazo zimeunganishwa kwenye mtandao. Lakini hata wireless internet inapatikana pia kuzunguka maktaba. Sasa hebu tuje UDSM maktaba (CHAGULLA) yake not updated for some years now kutokana na serikali kupuuza elimu hapa Tanzania kwa kisingizio cha ufinyu wa bajeti. Kwa taarifa zisizorasmi ni kwamba ubora wa vyuo vya umma umeporomoka sana ila historia ndiyo inayoendelea kuwabeba hasa UDSM (sleeping giant). Pili udikteta wa serikali kupitia maVCs kwenye vyuo hivyo vya umma umepunguza sana kufichuliwa kwa mapungufu mengi ya msingi ya kitaaluma yanayowasibu wanavyuo. Nenda UDOM, kwa mfano, utaona maajabu, huko Tutorial Assistants wamepewa vipindi na wanafundisha undergraduates(BA) na Assistant Lecturers wanawafundisha wanafunzi wa masters (MA na MSC) kinyume kabisa na sheria za TCU. Lakini kwenye vyuo binafsi kama SAUT, kwa mfano, TAs hawaruhusiwi hata kusimamia seminars tu. Mhadhiri mchovu hukataliwa na wanchuo if he does not deliver well in class jambo ambalo si kawaida kwa public universities.Vyuo binafsi ndiko mahala pekee ambapo OPRAS zinafanyiwa kazi na kuwa na mrejesho kwa wahusika tofauti kabisa na Public Universities.
 
Msomi gani wewe unalalama na utoto tu. Kwa hali ya mtandao ulivyo kwasasa unawezaje kupiga mayowe eti mnashare vitabu? For your information kama SAUT wanashare 2 au 3 then UDSM watakuwa 10 per book. Siamini kwamba hilo linatokea SAUT
 
Huyu anayelalamika hapa hana sifa za kuwa chuo kikuu, kwani mtu wa chuo kikuu anapoongea lazima afanya utafiti wa kutosha, hivi unaposema SAUT hakuna vitabu unafikiri ni lazima kwa library kuwa na vitabu kwa kulingana na kutosha kwa kila mwanafunzi, ilihali library tunasoma kwa zamu. wewe unalalamika vitabu wakati UDSM tulikuwa na tunabebana yaani tunalla wawili wawili, unashangaa vitabu kutotosha mbona pale UDSM baadhi ya aina vitabu havikuwepo katika maktaba, na vingine vilikuwa 2 au 1, chamsingi tulikuwa tunapanga mda ambao unjaua wengine watakuwa hawajakifikia, unashanga vitabu kukosekana SAUT wakati pale UDSM ukiingia Lecture ulikuwa unakosa pakusimama hivyo unaamua kusimama dirishani , unashaangaa SAUT kukosa vitabu wakati UDSM katika hall 2 na hall 3 mahall yamechakaa na maji machafu yanatoka bafuni harufu mbaya zinaingia vyumbani wewe unashanga huko SAUT kwa kukosekana baadhi ya vitabu. kWA KIFUPI UNTAKIWA UFANYE RESERCH KABLA HUJALALAMIKA WEE NI MSOMI.
 
publik relation na jonalism! Hehehe hata hivyo vitabu vingekuwepo 6 kwa kila mmoja sijui kama ungeelewa hata ukisoma!

Kama kuandika tu kunampa shida je kusoma hivyo vitabu? Huyo ni kilaza tu aliyeongezewa maksi na KAWAMBWA!
 
Jefas ungeandika kidogo tu kama msomi ingependeza. Andiko lako halionyeshi kama wewe unasoma chuo kikuu!
 
sio kweli moderator naomba uifute hizo thread, mimi huwa natumia sana library wanafunzi wengi wanaosoma public relation huwa hawaendi kusoma sababu floor yao na yetu zinapakana sasa, yeye anakosa vitabu wakati vitabu hivyo ni vingi na huwa kuna nakala nyingi na ukikosa kitabu ukiienda librarian anakupatia cha store. mshamba tu huyo ni kilaz tu.
aache defence mechanism
 
To be honest...mimi niko hapa SAUT. SAUT inamatatizo mengi lakini sio library tena wengi wanapenda kuuita "The leading library in east africa"
 
Wakati wasomi na wadau mbalimbali wakipigia kelele uozo na ubora wa elimu katika ngazi ya sekondari.. hali imekua mbaya pia katika baadhi ya vyuo vikubwa hapa nchini HASA chuo cha MTAKATIFU AGOSTINO MWANZA. wanafunzi wamekuwa wakisubiriana kushea vitabu kama wakina mama kule kijijini wanavyo subiriana kuchita maji katikt kisima..Wanafunzi wa kozi za PUBLIK RELATION NA kozi za JONALISM wanalazimika mda mwingine kuficha kitabu wanapochoka kusoma ili akirudi tena akikute maana akikiacha wazi watachukua wengine hivyo atakoas kusoma...Taitizo hapa nikua hivi vyuo vya private havina supavisheni yoyote kutoka serikalin ndomana wanatoa huduma mbovu kabisa...Je vyuo vikuu navyo vinasubiri MBATIA APIGE KELELE? au Mheshimiwa pinda pindua aunde TUME? tAIFA LIKO MAHUTUTI kwa mtindo huu tatapigw sana bao na manajumuiya wenzetu wa KENYA,UGANDA,BURUNDI NA RWANDA.. naunga mkono hoja

Wewe ni msomi wa chuo gani?Lazima umetumwa na CCM na unataka kutuonesha kuwa Dr Kitima hafai.Hivi unaweza kulinganisha kanisa katoliki na CCM kwa umakini kweli?Wewe tayari ni janga.Kuandika hujui.Font unayotumia hujui ina madhara gani kwa wasomaji wako.Rudi sekondari ukaanze upya.Nyie mlio tumwa na Nape ni janga hapa JF.Umejiunga juzi tu unaandika upuuzi.Kajipange upya
 
Hujafanya utafiti. Hali ni mbaya hata vyuo vya serikali kama ilivyo ktk ngazi zot za elimu kuanzia chekechea, msingi na sekondari. Nenda pale UDSM uangalie jinsi stationeries zilivyokuwa busy kuphotocopy vitabu
 
Kumbe bado kuna 'wasomi' wanategemea hard copy!!!!..by the way hamna jipya hapo vyuo vyote tz vipo hivo hivo..nahisi SAUT wana afadhali!
 
ACHA UONGO WEWE! MIE NIKO HAPA SAUT KWA MUDA MREFU. NAHISI TANZANIA, CHUO CHENYE LIBRARY KUBWA ILIO SHEHENI VITABU NI SAUT MWANZA. TATIZO LAKO KABLA YA MITIHANI KUFIKA MUDA WOTE UKO BAA; na MMEJENGA TABIA YA KUTOSOMA VITABU ILA LECTURE NOTES ZAKO NDO UNACHUKUA UNAENDA NAZO LIBRARY KUSOMA AFU ETI UNAJIITA MSOMI, MTIHANI UMEFIKA NDO UNATAFTA VITABU!! USHAURI: KUNA ONLINE BOOKS KWENYE COMPUTER ZOTE ZA SAUT, KAMA HUJUI KUTUMIA ULIZA LIBRARY ATTENDANT WATAKUELEKEZA JINSI YA KUTUMIA. KTK ENZI HIZI ZA DIGITAL HAINA HAJA KUWA NA SHELVES NYINGI. NENDA NA FLASH YAKO WATAKUWEKEA VITABU UNAVYOTAKA NA UTAJISOMEA ROOM KWAKO. BWANA YESU AFISIWE.

Acha kukipamba, hakuna kitu danganya wasioijua saut, faida ya hapo ni moja tu KUCHUKUA DEGREE KAMA UNANAWA
 
jisifieni tu mngejua mnaitwa wanafunzi wa chuo cha kata, nasikia hapo SAUT ukidisco basi hujui kusoma wala kuandika, kwanza neno kudisco halipo, ningejua ningeomba chuo hicho, manake huku nilipo msuli niwakutoboa ozone.
 
Watu siku hizi wanasoma online. Acha utoto wa kulalamika ati hamna vitabu. Haya ni madhara Nyambari Nyangwine (7X2=15) kwa watoto wetu.
 
Back
Top Bottom