lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
Haya bana siwezi bishana nawewe ningeweza kumchapa shemeji yako ningekuwa na prove ila siwezi sasa ndio basi tena ..Unajua, viboko havivunji, so hakuna issue ya matibabu apo...atajikuna tu
Haya bana siwezi bishana nawewe ningeweza kumchapa shemeji yako ningekuwa na prove ila siwezi sasa ndio basi tena ..Unajua, viboko havivunji, so hakuna issue ya matibabu apo...atajikuna tu
I'm a teenage boy(11-19)
chukulia kwamba we ni mazazi wangu,umepata ushahidi kwa kadi au barua au msg kwenye simu yangu kwamba nina demui.
We kama mzaz wangu tanikataza nisiwe na demu,au utanishauri kitu gani na kuniambia nn?
I'm a teenage boy(11-19)
chukulia kwamba we ni mazazi wangu,umepata ushahidi kwa kadi au barua au msg kwenye simu yangu kwamba nina demui.
We kama mzaz wangu tanikataza nisiwe na demu,au utanishauri kitu gani na kuniambia nn?
Mnanipa raha huku jamvin!nilikua na stress nimecheka mpaka nikalia!duh!