Je umetumwa na chama gani mkuu kuja kuharibu sifa ya chuo huku JF
Ni vyema ungefafanua kwa kina zaidi hizo changamoto ili wapime kama zina uzito wa kuwafanya wasikichague.
Vyuo vikuu vyote vya private n utumbo,walim ni TAs,ada kubwa,ingawa hakuna kudisko lakin mwanafunz kuwa ATM ndo sera yao