Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Pesa siyo tatizo....!!
Utakubali tupigane mapicha....?
Pesa siyo tatizo....!!
Utakubali tupigane mapicha....?
Sioni ajabu kwani nimeuza sana kwenye magazeti.
Haya utanilipa sh ngapi ili nikubali?
Me hapo hata sikimbii,
Namletea Kibesi Mume Wangu.
Akinipiga talaka naenda kwa Huyo Kidume alienikuta Nae.
Na yeye akinikataa Natangaza kutafuta Mchumba mwingine.
Chezeiya!!!
Hahahahahaha
Yeyote utayotaka.........!!!
Ila uwe unajua mazinguzi ya kufa mtu eeeh.................!!!
Ona Udenda unavyokutoka!!!
Utazimika,shauriro!!
Udenda muhimu ila angalia usije msahau mumeo....ohooo...
Unaweza ukawa naye huku unakazana kutamkajina langu tuu....
Kimbwe..... kimbwe....kimbwe.....kimbwekaaaaaaa...
Ushindwe na Ulegee.
Me Mlokole jina.
Rutta atakupiga,we nichezee.
kwa iyo wewe ni bingwa wa kutongozeshea watu ehh?
akati nilikuona kama unaelekea kibra kabisaa...
ukiachana nae asubuhi jioni njoo kwangu...
kama kazi ya ubar maid...lol
Hahahaha.....
Hapo lazima umesha naniii... umeshalegea......!!!
Hamna hyo makitu.
Me Mlokole safi.
...jiweke kwenye nafasi mojawapo kati ya hawa watatu...
then utoe mawazo yako (ki-chit chat zaidi) au hata kiuhalisia pia...