Me hapo hata sikimbii,
Namletea Kibesi Mume Wangu.
Akinipiga talaka naenda kwa Huyo Kidume alienikuta Nae.
Na yeye akinikataa Natangaza kutafuta Mchumba mwingine.
Chezeiya!!!
Madame B je mumeo akiamua kakaa kimya tu...Me hapo hata sikimbii,
Namletea Kibesi Mume Wangu.
Akinipiga talaka naenda kwa Huyo Kidume alienikuta Nae.
Na yeye akinikataa Natangaza kutafuta Mchumba mwingine.
Chezeiya!!!
Duh najifanya nimezimia..
Waweza jikuta una amkia
...jiweke kwenye nafasi mojawapo kati ya hawa watatu...
then utoe mawazo yako (ki-chit chat zaidi) au hata kiuhalisia pia...
hata kutigoliwa.ningekua mie ndo nipo kitandan na huyò dada ningukua tayar kwa lolote
au kutokwa na ugali wa tumboni bila taarifa.hahaha siyo kuamkia tu kaka na kuomba kufanya kazi za house girl zote... ili mradi tu uponyoke.
usitafune maneno ni lazima apigwe kitu cha mla huliwa yaani akorogwe zege.Sithubutu kuendelea kukaa,
asije akanichinja usiku.
Ila wanaume wa Kiafrika,
Lazima mgoni ashikishwe adabu.